Recent content by safetymaster

  1. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mimi kwa uchunguzi wangu binafsi,nimebaini vibali vinatolewa kwa first in first out(na wanajitahidi ndani ya miezi mitatu),lakini pia nadhani taasisi unayokwenda inaweza kuomba kwa KM kuharakishiwa kupelekewa mtumishi. Hili niligundua siku ambayo watu wawili kwa pamoja ninaowajua kupata kibali...
  2. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Yea,tangu hiyo tarehe 1/9 ipo transfer permit letter.
  3. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hii nimeona tarehe 1/9/2026.......,ila barua ilitumwa ninakokwenda na ninakotoka wiki moja kabla ya mimi kuona mabadiliko. Nilipigiwa simu kwenda kuchukua barua kabla ya kuona mabadiliko haya.
  4. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hii ni screenshot ya muda huu
  5. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mkuu ni kweli,mimi pia ni shuhuda
  6. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hili jibu la lini mkuu na alianzisha ombi lini?Mhusika alianza na vacancy request?
  7. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Itoshe kusema September inasubiriwa kwa hamu kubwa na members wa uzi huu,sijui hizi tetesi za September zimetokea wapi!
  8. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Watu wazidishe dua na sala.
  9. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Katika kipengele cha vacancy request, mwajiri ana option ya approve/reject . Ila katika transfer request hakuna option ya ku-reject,
  10. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Vacancy request inahusisha taasisi mbili,unapotoka(mwajiri wa sasa) na unapokwenda(Destination organisation) na kote wanao approve/Reject ni head of institution. Sasa kama mwajiri ame-approve(kuonesha yupo tayari kuruhusu uondoke) haja-reject na taasisi unayokwenda waka-approve (kuonesha wapo...
  11. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Yani uliomba vacancy Request na mwajiri akaipitisha iende destination organisation halafu kwenye ku-initiate transfer mwajiri huyohuyo aweke comment ngumu!Nadhani hata wao watamshangaa
  12. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Ndugu,kuna watu wameomba July na wameshapata vibali,wakati wengine bado. Naona unashangaa kwamba ombi lipo utumishi na May wameshapata vibali,yeye bado. Hapo cha muhimu azingatie huo ushauri wa kwamba awasiliane na utumishi.
Back
Top Bottom