Ili vioane unapaswa kuomba nafasi (vacancy request) na ukubali kufanyiwa recategorization kisha baada ya hapo ndo uanze kuomba transfer kawaida. Kwangu naona kwa hilo mfumo hauna shida.
Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla...
Wale mlioitwa usaili chuo cha kilimo Mwalimu Julius K. Nyerere na SUA baada ya usaili mje hapa kuwapa ABCs Majobless wenzenu!
KUMBUKA:UKIMUINUA MWENZIO,NAWE UNAINUKA NAE.
Kwani wewe mwalimu hizi takwimu unazitoa wapi? Yaani kila siku unakuja na mapya kuhusu haya mambo ya saili za kada ya ualimu na afya!
Unafaidika nini kila wakati kutaja mikoa ambayo ina watu wengi walioomba wakati huna takwimu sahihi? Au unataka watu wabadilishe mikoa ili hiyo mikoa unayotaja...
Kwa hiyo mwalimu wa cheti apewe mtihani wa mwalimu wa shahada kisa wote walimu na wanaulizwa teaching methodologies? Halafu kuulizwa maswali ya somo utakalofundisha kwa wale wa shahada ni lazima haiepukiki kwa kuwa wanaajiriwa kufundisha somo husika mfano Geography au English language. Ni...
Kijana,hiyo kitu ya walimu wote kufanya mtihani mmoja unaofanana haiwezekani kabisa!
Yaani mwalimu wa PHYSICS mwenye diploma grade IIIB apewe mtihani sawa na mwalimu wa PHYSICS mwenye shahada grade IIIC?Nimetolea mfano huu kwa kuwa hivi karibuni kuna walimu waliosoma diploma za masomo ya sayansi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.