Recent content by safetymaster

  1. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hizo ni mamlaka mbili tofauti za ajira,kwa hiyo utaazimwa na baada ya mwaka utathibitishwa au kurudishwa ulipotoka kama mwajiri mpya hataridhishwa na utendaji wako.
  2. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hii hutokea unapoomba uhamisho unaohusisha kubadili mamlaka ya ajira/kada, mfano uliomba kutoka Halmashauri kwenda TFS
  3. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Barua anayosubiri itakuja na kichwa cha habari, YAH:KIBALI CHA KUAZIMWA na sio KIBALI CHA UHAMISHO. Barua hiyo itamuelekeza pia kuwa atakuwa kwenye matazamio kwa muda wa mwaka mmoja na endapo taasisi husika haitaridhishwa na utendaji wake atarudishwa kwenye taasisi aliyotoka.
  4. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hongera, vipi umeshafanikiwa kupata kibali?
  5. safetymaster

    JamiiForums Tanzania KERO Mkanganyiko kwenye madirisha ya E-uhamisho kwa Watumishi wa Umma

    Mwaka mpya umeanza,na nafasi zimeshajazwa. Ni huzuni kwelikweli
  6. safetymaster

    JamiiForums Tanzania KERO Mkanganyiko kwenye madirisha ya E-uhamisho kwa Watumishi wa Umma

    Tupe mrejesho umetumia dirisha lipi na kama hujakutana na VACANCY NOT BUDGETED.
  7. safetymaster

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna changamoto kubwa kwenye mfumo wa e-Uhamisho katika mchakato wa uhamisho wa Watumishi wa Umma

    Kuna muda unaweza kuhisi kuwa mfumo umesetiwa kutoa jibu moja tu la VACANCY NOT BUDGETED.
  8. safetymaster

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Uhamisho wa Watumishi wa serekali kupitia mfumo wa e-uhamisho wa ESS

    Ushauri wangu:Fanya kuwasiliana na taasisi husika pengine wao ndo wameiondoa hiyo nafasi. Lakini nawaza kwanini karibia kila taasisi unayoomba kwa sasa kuhamia inaleta ujumbe wa VACANCY NOT BUDGETED? Na hii imekwenda mbali hadi katika ngazi ya halmashauri. Mwanzo nilijua VACANCY NOT BUDGETED ni...
  9. safetymaster

    JamiiForums Tanzania HOJA Changamoto ya mfumo wa e-uhamisho kutotambua ufanano wa kada na taaluma kati ya taasisi za umma

    Ili vioane unapaswa kuomba nafasi (vacancy request) na ukubali kufanyiwa recategorization kisha baada ya hapo ndo uanze kuomba transfer kawaida. Kwangu naona kwa hilo mfumo hauna shida.
  10. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Responded Waraka wa Katibu Mkuu kuhusu MUDA WA KUSHUGHULIKIA MAOMBI YA UHAMISHO KUPITIA MODULI YA e-UHAMISHO

    Nadhani ungetupia huo waraka humu ili kujiridhisha kama ni waraka rasmi.
  11. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Kwa suala lako kama una sifa na vigezo pitia kwenye mfumo, itakuwa rahisi sana kwako.
  12. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla...
Back
Top Bottom