Hizo ni mamlaka mbili tofauti za ajira,kwa hiyo utaazimwa na baada ya mwaka utathibitishwa au kurudishwa ulipotoka kama mwajiri mpya hataridhishwa na utendaji wako.
Barua anayosubiri itakuja na kichwa cha habari, YAH:KIBALI CHA KUAZIMWA na sio KIBALI CHA UHAMISHO. Barua hiyo itamuelekeza pia kuwa atakuwa kwenye matazamio kwa muda wa mwaka mmoja na endapo taasisi husika haitaridhishwa na utendaji wake atarudishwa kwenye taasisi aliyotoka.
Ushauri wangu:Fanya kuwasiliana na taasisi husika pengine wao ndo wameiondoa hiyo nafasi.
Lakini nawaza kwanini karibia kila taasisi unayoomba kwa sasa kuhamia inaleta ujumbe wa VACANCY NOT BUDGETED? Na hii imekwenda mbali hadi katika ngazi ya halmashauri. Mwanzo nilijua VACANCY NOT BUDGETED ni...
Ili vioane unapaswa kuomba nafasi (vacancy request) na ukubali kufanyiwa recategorization kisha baada ya hapo ndo uanze kuomba transfer kawaida. Kwangu naona kwa hilo mfumo hauna shida.
Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.