Recent content by safetymaster

  1. safetymaster

    JamiiForums Tanzania HOJA Changamoto ya mfumo wa e-uhamisho kutotambua ufanano wa kada na taaluma kati ya taasisi za umma

    Ili vioane unapaswa kuomba nafasi (vacancy request) na ukubali kufanyiwa recategorization kisha baada ya hapo ndo uanze kuomba transfer kawaida. Kwangu naona kwa hilo mfumo hauna shida.
  2. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Responded Waraka wa Katibu Mkuu kuhusu MUDA WA KUSHUGHULIKIA MAOMBI YA UHAMISHO KUPITIA MODULI YA e-UHAMISHO

    Nadhani ungetupia huo waraka humu ili kujiridhisha kama ni waraka rasmi.
  3. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi Juu ya Uhamisho kutoka Halmashaur kwenda Taasisi za Elimu za Juu

    Kwa suala lako kama una sifa na vigezo pitia kwenye mfumo, itakuwa rahisi sana kwako.
  4. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla...
  5. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wadau, anayejua kiwango cha PHTS 1.1 kwa sasa naomba anijuze.
  6. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Wadau, anayejua kiwango cha PHTS 1.1 kwa sasa naomba anijuze.
  7. safetymaster

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwahiyo Bunge mnatuambia Tarimba alisoma Cheti, Diploma na Degree kwa wakati mmoja? Ile Masters imeenda wapi?

    Llb za miaka 3 zipo......Mzumbe na Makumira ni miongoni mwa vyuo vinavyotoa kwa miaka 3
  8. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Tiba ya harufu mbaya ya kinywa

    Nami pia napendekeza matumizi ya hii hydrogen peroxide japo nahisi inategemea na chanzo cha harufu. Inapatikana pharmacy.
  9. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

    Elezea kuhusu sumu iitwayo "KIPEANO" ambayo wahangaza kutoka Ngara huwapa watu wakikorofishana nao.
  10. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Serikali isitishe mishahara kwa watumishi waliorudi masomoni ni upotevu wa pesa tena wengine wanahama fani kabisa

    Mleta mada asamehewe. Anaonekana bado ni mtoto au hana uelewa wa mambo mengi ya kawaida.
  11. safetymaster

    JamiiForums Tanzania PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Wale mlioitwa usaili chuo cha kilimo Mwalimu Julius K. Nyerere na SUA baada ya usaili mje hapa kuwapa ABCs Majobless wenzenu! KUMBUKA:UKIMUINUA MWENZIO,NAWE UNAINUKA NAE.
  12. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Walimu Laki Mbili kugombea Nafasi elfu Kumi na Moja. Wanaotakiwa Oral interview NI elfu arobaini na nne

    Kwani wewe mwalimu hizi takwimu unazitoa wapi? Yaani kila siku unakuja na mapya kuhusu haya mambo ya saili za kada ya ualimu na afya! Unafaidika nini kila wakati kutaja mikoa ambayo ina watu wengi walioomba wakati huna takwimu sahihi? Au unataka watu wabadilishe mikoa ili hiyo mikoa unayotaja...
  13. safetymaster

    JamiiForums Tanzania Law school of Tanzania yapandisha ada na gharama nyingine, kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=

    Pengine ndio maana bunge limefanya mabadiliko!Hakuna haja ya kila mwanasheria kupita LST.
  14. safetymaster

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Kwa hiyo mwalimu wa cheti apewe mtihani wa mwalimu wa shahada kisa wote walimu na wanaulizwa teaching methodologies? Halafu kuulizwa maswali ya somo utakalofundisha kwa wale wa shahada ni lazima haiepukiki kwa kuwa wanaajiriwa kufundisha somo husika mfano Geography au English language. Ni...
  15. safetymaster

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Kijana,hiyo kitu ya walimu wote kufanya mtihani mmoja unaofanana haiwezekani kabisa! Yaani mwalimu wa PHYSICS mwenye diploma grade IIIB apewe mtihani sawa na mwalimu wa PHYSICS mwenye shahada grade IIIC?Nimetolea mfano huu kwa kuwa hivi karibuni kuna walimu waliosoma diploma za masomo ya sayansi...
Back
Top Bottom