kwa kweli nilijua tu kwangu yaani huu ni wizi vodacom menu yenu kuna wakati mnapunguza namba kuna wakati mnaongeza ili mradi mteja asipate kununua muda kutoka na pesa yake. na kama umenunua muda na pesa ikibaki ukipiga wanachukua yote iliopo kwenye simu huu ni wizi
Ninachoomba wana jamii tujadiliane kwa kina na tuwe huru kuliongelea hili, kwani kila siku inavyozidi kwenda hali imeongezeka.
Baadhi ya vijana wanadai wanafuata mapenzi wakati wamama wao wanasema pamoja na Umri mkubwa walionao ndani ya nafsi zao wanajiona ni vijana wadogo, nguvu na...
Mie naona kawa Uwalimu una toa ajiri nyingi kwa watoto wa kike ndo maana tunaona kama walimu ndo wengi wanaolewa lakini si kweli kuolewa kwa mtoto wa kike sio kazi anayofanya inategemea tabia na utayari wake kuwa Mke
kuhusu kuzaa kwa operation kuwa mtu anachelewa kuja kufanya tendo sio kweli mie mwenyewe nimeshazaa watoto wa tatu kwa operation na ndani ya siku 40 niliweza kuendelea ingawa haikuwa kwa nguvu ile ila niloweza mridhisha mwenzangu bila matatizo inategemea mtu na mtu. na operation zangu zilitokana...
inaonekaba huyo dada na jamaa yake wanapenda na wewe wanakutumia na ndo maana huyo dada wakato wote anaomba msaada kwako akijua utampa kiukweli hakupendi tena acha kutumika tengeneza maisha yako na kama ulivyosema umeamua kuwa single kwa kuto waamini wanawake kwanini waendelea kumuamini huyo ex...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.