MH. ERWARD LOWASSA NA VITA DHIDI YA TAALUMA YA
MITANDAO YA KIJAMII (TROLL).
Tangu tarehe 7/02/2008 ambapo kiongozi mzaliwa wa
Ngarash Monduli mwaka 1953 ajiuzulu nafasi ya uwaziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa iliyoitwa
scandal ya Richmond imepita miaka kadhaa ambapo mimi
pia...
MH. EDWARD LOWASSA KWASABABU HIZI KUPITISHWA NA KAMATI KUU (CC) MAY 2015 KUGOMBEA URAIS WA JMT.
Maisha ya watanzania yamekua magumu mno,sasa sukari ipo juu ikiwa ardhi na mabonde kama ruvu mtibwa na kageara tunayo, umeme usio wa uhakika wakati gesi ya mtwara na RUBADA, madawa hakuna...
Mwisho wa Siku Wenye Busara Hujiuliza Ni Nani Anakubalika? - Benjamin William Mkapa
Salaam;
Kama kawaida yake Rais Jasiri na asiyemumunya maneno leo kazungumza mengi sana wakati akihojiwa na Runinga ya Citizen kwa njia ya simu.Rais Msataafu Benjamin Mkapa alikuwa akihojiwa juu ya kifo cha Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.