Hahahaha umenikumbusha juzi,wife alikua anaumwa nikampeleka hospital Moja ya private,wife kajieleza ana mafua,homa na kifua wakamdirect kwa docta wa alege!!!mara eti damu sijui imaefanyaje madawa karibu 200k..nkakwambia kachukue kipimo cha mimba usinywe madawa,kupima kumbe mja mzito...hizi...
Kuna wakati Askari ambao si waaminifu wanasingia watu makosa!!ukiwa unatoka mwenge mpakani ukunje mataa kuelekea makongo kuna zebra!!taa zilipowaka nikavuka mara paap askari kanisimamisha!akanambia leta leseni yako nami bila kuchelewa nikampatia,akanambia nakuandikia faini umesimama mbele ya...
Ni mara ngapi izo daladala zinasimama ovyo barabarani na hawachukuliwi hatua?askari hawapo?daladala haisimami kwenye zebra na haichukuliwi hatua sasa usisimame wewe mwenye gari ndogo!!kwenye mataa bajaji hazisimami na hawazikamati kwa sababu gani??wanaolia Humu wengi wenye gari ndogo na Ndio...
Uko sahihi kabisa kongole!!mfano tunduma kuna wakati taa zinawaka kuruhusu waenda kwa miguu na kuna wakati zinawaka kuruhusu magari!!shida ya askari hawataki kutoa elimu kwa waenda kwa miguu wao kazi ni kusumbua wenye magari tu
Kuna hili la stand kufatana na zebra,mfano magomeni mwembechai na manzese!!umesimama kumruhusu apite anakupa ishara wewe endelea kumbe yeye ni abiria na anasubiri daladala na unafika mbele polisi wanakukamata!!hii imekaaje?
Mtoa mada hajaongea ukweli wowote hapo!mwanadamu mwenye imani ya kiislam anapofariki inatakiwa aoshwe,kukafiniwa (kuvishwa vazi la sanda) ,kusaliwa na mwisho kabisa kuzikwa.Katika tendo la kuosha muoshaji ataminya tumbo la marehemu kama kuna uchafu utoke kwa sababu maiti ya kiislam inapokelewa...
Kaka msamehe huyo dada,tatizo la wanawake wengi wakati wapo kwenye migogoro ya mapenzi na wenza wao hudanganyika na wanaume wanaokea kwa mara ya kwanza lakini in abnormal situations..wewe unamlipia kodi laki 2 lakini akiwa kwenye mgogoro na mtu akamlipia kodi sehemu ya laki 4 humuona huyo mtu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.