Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms.
Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Niko Arusha. Asanteni sana.
Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms.
Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Asanteni sana.
Wadau; kama kuna mtu yuko Bukoba; naomba aniambie kuhusu bei ya dagaa ni kiasi gani kwa ndoo. Pia kama inawezekana; anipe namba; nahitaji kuanza biashara hiyo.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.