Recent content by Sadocks

  1. Sadocks

    Natafuta stoo ya kuweka dagaa wa Bukoba

    Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms. Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Niko Arusha. Asanteni sana.
  2. Sadocks

    Dagaa wa Bukoba kwa bei nafuu

    Kaka, niko Arusha natafuta stoo ya dagaa: 0629 255 667. Naomba tuwasiliane. Asante sana.
  3. Sadocks

    Wadau Natafuta Stoo Ya Kuhifadhia Dagaa Arusha

    Kama uko Arusha au unamfahamu mtu yeyote mwenye stoo, naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0629 255 677 . Nitumie hata sms. Natafuta stoo ya kuhifadhia mzigo wa dagaa. Asanteni sana.
  4. Sadocks

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Bei sijajua hasa ni shilingi ngapi kwa sasa. Gharama zingine, niza muhimu na kawaida tu. Kama una connection; naomba.
  5. Sadocks

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Wadau; kama kuna mtu yuko Bukoba; naomba aniambie kuhusu bei ya dagaa ni kiasi gani kwa ndoo. Pia kama inawezekana; anipe namba; nahitaji kuanza biashara hiyo. Asanteni.
  6. Sadocks

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Hayo ni mawazo yako kijana. Usiyalazimishe yawe ya wote.
Back
Top Bottom