Recent content by sabas mamiro

  1. S

    Natafuta kazi za library assistant@wadau jf!

    kwa anayefahamu au anayehitaji mtu wa kazi hizi au angalau zinazofanania tuwasiliane mapema vilevile ninao uzoefu wa mwaka mmoja.
  2. S

    Natafuta kazi ya assistant library

    sawabho wewe ndio mtu katika watu ingawa mpo wachache.thanx bro! Achana na huyo mwehu bhbm.
  3. S

    Natafuta kazi ya assistant library

    kwa yoyote anayefahamu kazi hiyo inapopatikana anitaarifu muda wowote nipo tayari!
  4. S

    Watanzania wote!

    kunasababishwa na nini na matokeo ni yapi hasa pale,SERIKALI KUU INAPOKUWA NA SIRI NYINGI KULIKO UWAZI?.
  5. S

    nawasalimu habari zenu,great thinkers?

    ahsante! Wananchi wenzangu wa arusha na viongozi wetu mpo?
  6. S

    nawasalimu habari zenu,great thinkers?

    naitwa sabas mamiro natokea arusha ni mhitimu wa chuo kikuu MUCCOBS moshi,ningependa niwafahamu wote hasa wanaotokea arusha na kama kunakiongozi wetu wa arusha jf nimfahamu ajue na mimi nimo.ahsanteni!
Back
Top Bottom