Nina fundi wangu wa uhakika,💯‼️🔥anatibu gari za Japan, Europe na marekani
Suleiman kondo +255 654 961 992
Mtafute, na uhakika itapona kwenye mikono yake
Habarini wadau naomba support yenu kufollow our insta Account 🙏🏾 hapo kwenye picha
AU
Bonyeza link hii kuingia
https://www.instagram.com/7spares?igsh=bWx5dDB5c3BqazU5
Nashukuru kwa Mda wenu,
Mungu awabiriki✨
Sio kila mtu anayeposti tangazo ni tapeli au mwizi, omba taarifa zake ili upate kumdadasi ufanye maamuzi. Na pia jiheshimu na upunguze kukurupuka kujibu ovyoovyo maana baadaye unadhalilika mwenyewe
Agiza spare za mini cooper nasi kwa bei nzuri ( jumla na reja reja )
Tunatuma kwa njia ya ndege au maji
Uwazi na muda ni kauli yetu mbiu
Kwa ihitaji comment " Order " tukuhudumie
Karibuni sana
Karibu uagize spare za mini cooper kuanzia engine, vifaa vya umeme, vilainishi na mengineyo kwa jumla na rejareja
Wa ndege,Vifaa hufika ndani ya siku 5 hadi 7 na kwa meli/maji ni siku 40 kulingana upakiaji na usafirishaji.
Ndege ipo ya jumatatu, jumatano na ijumaa na kwa kilo ni dola 12...
Ninachoamini, saloon nyingi ni zimeundwa kwa ajili ya barabara za mijini japo kwa nyingine unaweza kuendesha kwenye light gravel ila sio barabara mbovu zenye mashimo, mawe na utelezi mkubwa.
Japo ground clearance yake iko chini Gari hii ni ngumu, inamudu barabara inategemea na uendeshaji wako...
Habari wadau!
Leo ningependa tuzungumze kusuhusu hii mashine ya kijerumani brand ya Volkswagen iitwayo Passat 1.4L TSI.
So ningependa ku summarize kidogo baadhi ya mambo.
Ni gari aina ya saloon au sedan yenye Turbo charge petrol engine inayokutumia mafuta 16-18 L/km, tanki la mafuta ni litre...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.