Unafurahi kwa muda, huyo Sasa ndie atakayeleperusha bendera ya CCM kigamboni, aliyeshinda maoni si alitumbuliaa kwa ukosefu wa nidhamu kwa kumkosoa mkuu. Hapenyi popote Wala....
Tume Huru Ya Uchaguzi, pamoja na Shirika la Habari La Taifa, jifunzeni kwa CCM KUTULETEA uchaguzi LIVE, na uhesabuji wa KURA LIVE! JPM kura yangu unayo hiyo October 2020, na nitapenda kura yangu ihesabiwe LAIVU.
Kuna wabunge waliotolewa bungeni baada ya kufutwa uanachama wa chama Chao, hivi ilikuwa Ni enzi wa Samweli Sitta eeh! Muda utaongea, na ukiwa muongo, uwe na kumbukumba Basi.
Sa Ni Ya I Za
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.