Maisha hayo ni humu nchini tu wenzetu haya kwao miujiza ila tz kawaida....wee hujiuliz vijana tunatoka mbagala tunafanya kazi kwa wahindi tunalipwa mshahara 100, 000 nauli 2000 kila siku, kodi ya chumba 30, 000 kwa mwezi na kila siku tunakula chakula cha buku tukiwa kazi hebu tengeneza bajeti nione