Recent content by s02tz

  1. S

    Kutoka Bunge la Katiba la Chit chat!

    Asali itatumika kama juice itareplace juice za miwa kule kariakoo
  2. S

    'Brazamen, Bitoz, sista du'

    Palikuwa na raba zenye chata ya NDOPU ziliwah kunukisha miguu yangu
  3. S

    Una tatizo la AC yako ?

    Nahitaji hii kitu
  4. S

    Mabati ya Migongo mipana yanauzwa

    Boss mabati hayo ni ya gage gani
  5. S

    Bei za viwanja Boko na Bunju

    Naomba nijaribu kuelimisha kidogo, kiwanja kilichopimwa kwa mil 3.5 hii ni ngumu kupata kwa uzoefu wangu. Thamani ya mita moja ya mraba kwasasa inapatikana sio chini ya 15000 itawezekanaje upate kiwanja kwa hela hyo, otherwise kuna mambo mawili yanayofanyika kitaalam, kuna demarcation na survey...
  6. S

    Historia ya wale jamaa wa kilindi walioitwa magaidi

    Pona ya communism unawezaje kuidefine ukiwa ktk nchi kama tz@mwanga
  7. S

    Utafanyaje?????

    Mleta hii story hebu nambie ulifanikiwa kujua pa kumzika kabla hujaandika hii maana nimekwama hapo
  8. S

    Utafanyaje?????

    Du! Itabd nimzungushe nyuma ya nyumba ila nitamwambia ukweli kwamba kuna nyoka lakn yupo nje ila sasa yule mwanamke ndio kimbembe maana pakumzika sasa!!!!!
  9. S

    Historia ya wale jamaa wa kilindi walioitwa magaidi

    Du haya mambo kimsingi yanahitaji umakini sana, wakati mwingine tunakosea kwa kukubali watu wengine kutucontrol psychologically hata wakibomolewa hyo miskit ingefaa wakamatwe ili wapewe elimu na wajirekebishe otherwise wataendelea kuharibu na wengine pia
  10. S

    mhhhhh

    Maisha hayo ni humu nchini tu wenzetu haya kwao miujiza ila tz kawaida....wee hujiuliz vijana tunatoka mbagala tunafanya kazi kwa wahindi tunalipwa mshahara 100, 000 nauli 2000 kila siku, kodi ya chumba 30, 000 kwa mwezi na kila siku tunakula chakula cha buku tukiwa kazi hebu tengeneza bajeti nione
  11. S

    Nina hamu na hiki kitu sana.

    Du du du!!!! Huyu nguruwe alikuwa bado mdogo wale wapishi wa mama kamche nadhani wambaka muda wake ulikuwa bado
  12. S

    Asubuhi hatuogi

    Kama mtu kapita chochoro katongoza kisha katoswa akiweza kupata maji akaoga inampunguzia machungu......kutoswa noma
  13. S

    Asubuhi hatuogi

    Hapo ipo dalili kuna la ziada ila pia watu wengine wanatumia maji kupunguza stress
Back
Top Bottom