Ni kweli kabisa ndg yangu,rasrimali zote ni za watanzania wote na tunayo haki ya kuzitumia,ingekuwa hivyo kama wanavyohitaji wana Mtwara,basi kila mkoa hapa TZ ungelitumia rasrimali zinazopatikana mahali husika.Nina wasiwasi kama walioandamana kweli ni wana Mtwara,maana nchi yetu sasa hivi raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.