Rafik issue ya kagera huyo jamaa aliyetumbuliwa alikiuka agizo la serikali la kutoshika ngombe ambazo ziko kwenye hifadhi hadi pale watapata maeneo ya kulisha hiyo mifugo na hilo lilisemwa bungeni in June
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.