Recent content by rwimo

  1. R

    Hivi Waziri akitenguliwa kwenye uwaziri ni lazima awaage aliokuwa akiwaongoza?

    Wanamacho lakin hawaoni maana ukisema hukuona anatishiwa bastora then inabidi uende kwenye eye clinic
  2. R

    Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

    Rafik issue ya kagera huyo jamaa aliyetumbuliwa alikiuka agizo la serikali la kutoshika ngombe ambazo ziko kwenye hifadhi hadi pale watapata maeneo ya kulisha hiyo mifugo na hilo lilisemwa bungeni in June
  3. R

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    jamaan siasa pembeni taifa limepoteza mpiganaji, freedom fighter,kipenzi cha wana njombe na taifa kwa msimamo wake
Back
Top Bottom