Mi naona kinachosemwa kinasema na watu wasio kuwa na utafiti hata kidogo na kawaida wanasema husipokuwa na utafiti hauna haki ya kuongea fanyen utafiti kwanza msikulupuke na kuanza kusema tena kwa dharau Zitta ana mazuri mengi na slaa nae anayo na mtu mwenye busara huwezi kumlinganisha zito na...
Utamaduni wetu 2mekuwa 2kiona wanaochinja ni waislam huwez kubadilisha asili na siku zote mazoea huwa sheria kwa wakati mwingine,tusitafute kupata mgawanyiko kwenye jamii tuwe makin na matumiz ya maneno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.