Ni huzuni na kilio kisicho na kifani kuondokewa na mwalimu, mwandishi mahiri wa somo la Geography (Physical na Human) ndugu yetu Dominic Thabit Msabila (D.T).
Mwalimu Msabila kwa kutumia kalamu yake amewasaidia vijana wengi kwa kutoa vitabu vyake kupitia kampuni ya Nyambari Nyangwine...
Hoja nzuri sana. Mzazi aliyekuwa analipa 0 toka msingi hadi kidato cha 4, mwanae akiingia chuo kusomea ngazi ya cheti atakumbana na gharama zifuatazo:
karo 1,000,000+_ kwa mwaka
hostel: za chuo 450, 000. nyingine:900000
nauli+chakula+matumizi mengine: 1,000,000/=+_
kwa kifupi, Jumla si chin ya...
Kimara mabomu yanalipuliwa zaidi ya manane sasa. Wananchi wameanza kuyazoea hivyo hawatishwi kwa Hali ilivyo.nahisi polisi wetu wanahitaji semina elekezi juu ya ulipuaji mabomu na kanuni ya uzoeshi.Kwani wanaona sifa kufanya hivyo Mara nyingi wakidhani wanawatisha wananchi kumbe wanawapa uzoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.