Tangia mwezi Desemba nauli ya kutoka Loliondo kwenda Arusha ilipanda kutoka 20,000 hadi 25,000.
Mabadiliko haya hayakutangazwa na SUMATRA. Miaka miwili iliyopita nauli ya kutoka Loliondo mto wa mbu kwa bus ilikuwa 17,500 ikaja kubadilika kimya kimya ikawa 20,000 na sasa ni 25,000.
Naomba...
Wadau wa huduma za kifedha naomba ufafanuzi ikiwa Uendeshaji wa NMB Wakala Ifumbula, Wilayani Tanganyika ni Tawi la NMB au biashara binafsi.
Jengo linaonekana kama lilijengwa na Benki ya NMB, watohuduma wanafanya kazi muda wa kazi sawa na NMB lakini ofisi yao imeandikwa NMB wakala na makato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.