Kwa ushauri wangu nawasihi msikate tamaha mahana kuna watu walikuwa kama nyie na wengine zaidi ya miaka yenu kwaiyo fanyeni maombi kwa kumuomba mungu nendeni kanisani kamuone mchungaji wenu mkafanyiwe maombi. Kama mkiamini hayo maombezi ipo siku itajibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.