Mkuu kwa kweli we umeelewa nilicho manisha,watu wanadhani tunafalia urithi la hasha.Katika watoto 4 tuliobaki ni Mimi peke yangu ndio bado nasoma ndungu zangu wengine tayari wana maisha yao na Mara nyingi nimekuwa nikiishi kwa kaka yangu.
Watoto wote kwa kuwa tumezaliwa na baba tofauti hapa...
Habari zenu,
Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri.
Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.