Fedha za fidia ya wananchi wanaopisha ujenzi wa njia ya mradi wa umeme kutoka bwawa la Mwl Nyerere za kwama Tanesco, fedha hizi zilidhinishwa na bunge la bajeti la 2015/2016 kwa ajili ya malipo ya fidia kwa kusimamiwa na Tanesco, mpaka leo 2021hakuna taarifa yoyote rasimi kwamba fedha hizi...
Fedha za fidia ya wananchi wanaopisha ujenzi wa njia ya mradi wa umeme kutoka bwawa la Mwl Nyerere za kwama Tanesco fedha hizi zilidhinishwa na bunge la bajeti la 2015/2016 kwa ajili ya malipo ya fidia kwa kusimamiwa na Tanesco mpaka leo 2021hakuna taarifa yoyote rasimi kwamba fedha hizi...
Huu mradi wa umeme ulianza mwaka 2015 ukiwa unategemewa kutoka Kinyerezi Dar es Salaam kuelekea Tanga mpaka Arusha ukijulikana kama North East grid KV400 kufika hapo katikati kati 2016 na 2017 hiyo mipango ikasimama baada ya mabadiliko ya uongozi kutoka Awamu ya Nne kwenda Awamu ya Tano awamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.