Recent content by Rungwe88

  1. Rungwe88

    Hadi sasa katika harakati zako za ujana maji ya moto, ni kitendo kati ya hivi haujawahi kugusa kabisa?

    Ushetani hapo ni mambo uliyoweka katika namba 14, 5, 12, 10, 15 basi, namba zilizobaki ni mtazamo wako au wa mtu binafsi. Ushetani mbaya zaidi ambao haujaweka kwenye list yako ni 1. Kuiba mali za uma 2. Ufisadi 3. Utekaji na mateso 4. Kufira 5. Mauaji 6. Usaliti kwa nchi (Puppet)
  2. Rungwe88

    Shetani ni nani?

    Elimu kubwa sana umeitoa. Tafadhali kama una kitabu kuhusu hiyo elimu au maelezo zaidi nahitaji ndugu
  3. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Kuna watu najua wapo CCM wanaujua huo ukweli ila inawezekana hawajaongea huo ukweli au wameongea na hawajasikilizwa au wamepuuzwa na samia na genge lake la vilaza wakina mchengerwa Yule mama samia kilaza hana ubavu hata kidogo wa kupambana na Roman Catholic.
  4. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Uongo wa hizo habari ni upi? Kitu hakiwezi kuwa uongo sababu wewe haukijui. Tofauti kati ya Roman ya wapagani na Roman Catholic ni upi?
  5. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Unajua maana ya majina ya hiyo miezi 12 kwenye Gregorian Calendar? Kwanini kalenda zingine hazina ushawishi duniani?
  6. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Eti huyo ndio raisi wa nchi..!! Inasikitisha sana Nchi yetu nzuri Tanzania imepata hasara kubwa mno kuwa na kiongozi kilaza namna hiyo huyo samia
  7. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Roman Catholics ni zaidi ya kanisa, vilaza wengi wa CCM hawajui hili. Chama chao wanaona ni kikubwa kuliko kila kitu hapa Tanzania kumbe Kuna watu wanaotawala hii Dunia wanawachora tu. Roman Catholic wamepitia mambo mengi kwa miaka zaidi ya elfu mbili waliyokuwepo hapa duniani, wanauzoefu na...
  8. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Hao Protestant wakiwemo KKKT, Anglikana, Moravian, Sabato n.k ni watoto wa Roman Catholic. Kidogo ungesema Orthodox church ya Russia
  9. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Acha kujidanganya kijana, Kuna mengi usiyoyajua. Kwanza hiyo kauli kwamba Taifa halina dini hujui ilitoka wapi na hata maana ya hiyo kauli haujui.
  10. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Wanajitoa ufahamu hao vilaza wa mbogamboga, wanafikiri Roman ni kama Chadema au kanisa la Gwajima. CCM wajiandae, hao Roman ni mashetani wenye sura nyingi.
Back
Top Bottom