Recent content by Rukraine

  1. R

    Rafiki yangu anakaribia kumfumania mkewe

    Ukimfumania mke jawabu ni kuua na siyo faini.
  2. R

    Nikija kuoa sitompiga Mke wangu usiku

    Hutompiga usiku lakini utampiga muda mwingine siyo?? Ungejitambua ungeomba Mungu akuondoe kwenye huo mfungo wa ufahamu. Mwanamke hapigwi anapendwa.
  3. R

    Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

    Wewe ni mbwa tu. Una mmudu mume wa MTU?? Wewe jitafakari sana maana kaburi linakuita, kumbuka ya Ole Sabaya. Shamba mkubwa wewe.
  4. R

    Kilichonikuta leo lodge

    Usitunze siri za watu bali usahau mambo ya watu. Yanaweza kukuletea matatizo usipoyasahau.
  5. R

    Kilichonikuta leo lodge

    Kawaida sana. Kuna wengi wa aina hii. Sisi wanaume tunapata shida kubwa mno. Mwanamke mama yako anakuambia live bila chenga nataka unikung'ute mpaka nijambe. Mara tatu hiyo imenitokea nikawatoa out, sasa hivi nawahofu wasije kunipa sumu maana ni staffmates.
  6. R

    Hodi wana JF

    Sijawahi kuwa JF
  7. R

    Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

    Uwe na kiburi au lah! Utajiri upo shambani, biashara ni kushikia mitaji tu.
  8. R

    Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

    Ukweli nimeusema hata mkitoa povu imewafikia. Mnawachukulia wanawake majukumu yao, unakuwa mrembaji wa geto??
  9. R

    Hodi wana JF

    Wewe ulishakufa Mara ngapi ukarudi kuishi?
  10. R

    Wanaume tujifunze ni Vitu gani viwepo Geto vya kumdatisha Mdada ili arudi tena?

    Ninyi nyote mbwembwe tu. Ni mwanameke wa aina gani mnamsema Hapa? Mwanamke wa ukweli siyo vitu hivyo, hivyo ni wajibu wa wanawake kuremba nyumba zao sasa ninyi mmegeuka warembaji?? Mwanamke akikukuta akusaidie kuhesabu Cash za biashara yako, akukute unapanga mipango ya kulima ekari 100...
  11. R

    Hodi wana JF

    Mimi ni mmoja wenu. Mnipokee kwa nguvu ya ajabu. Ili tufurahiane maana hii dunia tunaishi Mara moja tu.
Back
Top Bottom