Recent content by rugilandavyi

  1. R

    CALL: Atheist, Agnostic, Humanist, Free thinker, Rationalist, Non-believer

    Should you be reminded the definition of atheism ? Our stand points are NOT fairy tales, we dont try to convert anyone to be an atheist everyone is born a non-beliver after all. Think.
  2. R

    CALL: Atheist, Agnostic, Humanist, Free thinker, Rationalist, Non-believer

    I call upon all you people out there, critics of religion, people who prefer reason to bullshit, let's come together and discuss and analyze and share our thoughts on religion and faith related practices in our own space. Thank You.. Keep Reasoning. Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
  3. R

    WARNING: Kuwa makini na threads zinazopotosha kuhusu Mungu na uweza wake

    Mimi naona ni wakati wa mungu yeye mwenyewe kujithibitisha kama yupo na siyo wafuasi wa imani walioletewa dini na wakoloni kwa maslahi ya mataifa ya kibepari na utumwa, mungu hayupo acheni imani zakipumbavu dini zenyewe mmerithi tu pasipo kuuliza na kutafiti ipi imani ya ukweli. Ni kawaida tu ya...
  4. R

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Nasikitika kuona watu mnajadili udini, haifai hata kidogo. Mimi sidhani kama Tanzania na wananchi wake wamefikia mahali pakuweza kugawa ajira na nyadhifa katika mashirika ya umma kwa misingi ya dini. Dini si kigezo na hata mkisema pasu kwa pasu bado si sahihi dini isiamue iwapo mtu ananafasi au...
  5. R

    Hivi Aliens na UFOs ni tatizo la Amerika na Ulaya Tuuu?

    Kuhusu uwepo wa aliens hilo hatuna ushahidi wakutosha kuhitimisha iwapo viumbe hao wapo, tunapokuja kwenye simulizi za ziara za viumbe hawa kuja duniani hizi hazina ukweli wowote ni "conspiracies" tu. Vyombo visivyotambulika vipaavyo angani ni kweli vinaonekana mara kwa mara duniani kote lakini...
  6. R

    Kwa ma-atheist

    Nilikuwa sijawahi kukutana na atheists wakitanzania wazuri katika mada kiasi nilichokiona humu, mimi siamini katika uwepo wa mungu naaiamini saaana sayansi kwani imenifungua akili kuujua ulimwengu.Big up sana fellow atheists of Tanzania. Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
  7. R

    Mungu yupo, Moto upo na Pepo ipo (majibu)

    Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
  8. R

    Omnipotence paradox na ukomo wa nguvu za Mungu

    Hahahahahah unaushahidi wa unachokisema, hii si dunia ya uongo uongo na mazingaombwe, eleza ni vipi mauti inaweza kuwa gereza siyo kutumia lugha zakupumbaza ambazo moja kwa moja zinakuzuia kuuliza maswali. Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
  9. R

    What is the best evidence for evolution?

    Look around you and observe the life forms, evolution is all over the place. So far I can say the best evidence for evolution is genetic evidence for both higher and lower life forms but also fossil evidence is among what shows evolution in action for higher life forms. Sent from my BlackBerry...
Back
Top Bottom