Recent content by Rudaguza01

  1. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Shukran mkuu na kwa ushauri wa wote, nmefaniwa kubadilishiwa.
  2. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Yakupasa kuwa na roho ya paka kwa ukanda tuliomo.
  3. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Yaleo siyo ya jana mkuu, na hatujui ya kesho itakuwaje
  4. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Hahaa... Hata mtihan sikuufanya mkuu.
  5. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Daaahh, ngoja nijaribu
  6. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Nawapataje moderators samahani!
  7. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Namna ya kuiweka sasa ndo imekuwa mziki mkuu.
  8. Rudaguza01

    Siko huru na jina langu halisi humu

    Habari wana jf. Kiukweli matumizi yangu ya jina halisi humu linaninyima haki na uhuru wa kutoa maoni yangu ktk kila thread kwakuwa kama ilivyo kuna thread nyngine inakuwa na hisia kali hivyo naomba nijuzwe namna ya kuweka jina la ajabu ajabu, mf kama kuku mtata, jogoo la shamba, mpumuaji n.k...
Back
Top Bottom