Recent content by Rubhiga

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kisu kilichotumika kumkata sikio Gaidi aliyehusika na mauaji yaliyotokea Moscow kimeuzwa kama njugu

    Israel akiyaua mnasema anavunja sheria ?
  2. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

    Hu Wataleta wasaudia , ataukubali kwa kuwa umesomewa dua kwa alah wake.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Meli ya misaada kutoka Spain imetia nanga Gaza. Sasa bandari anayojenga Marekani ina haja gani?

    Una chuki na marekani kama ilivyo kwa wayahudi! Mbona marekani hujaagizwa.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Meli ya misaada kutoka Spain imetia nanga Gaza. Sasa bandari anayojenga Marekani ina haja gani?

    Wapalestina wanaitaka hata kesho , wanaona inachelewa , mjinga mmoja anasema ya nini!
  5. R

    JamiiForums Tanzania Hamas na Houth wakutana kuratibu mapigo yao dhidi ya Israel

    Sasa nimeelewa kwa nini Israel inaua watoto huko gaza , kumbe inaua magaidi wa kesho! Iendelee tu.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Chakula wamepelekewa na watu wenye huruma kwa binadam wenzao, ni swala la muda tu watakipata, wale magaidi wanaokiiba hawatapata hiyo nafasi .
  7. R

    JamiiForums Tanzania Houth waanza kumiliki makombora ya Hypersonic

    Hawa watu ushabiki unaweza kuwa umewatia ujinga, kumiliki hiyo ndo kushinda vita? Hadi muda huu kinachotafutwa ni uhalali wa kuipiga Yemen. Hizo bandari za misaada huko gaza , wajinga hawajui ajenda yzke.
  8. R

    JamiiForums Tanzania HAMAS watoa onyo kwa Wapalestina kuhusu ulinzi wa misaada ya chakula

    Ndiyo maana anazuia misaada anajua hamas wanaiiba . Sasa watakufa kwa njaa
  9. R

    JamiiForums Tanzania Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

    Kati ya wewe na wapalestina nani anajua umuhimu wa msada wa wamarekani na jamii nyingine zisizo waislamu? Hiyo bandari ni msaada mkubwa kwa watu wanaoteseka kutokana na ujinga wa watu aina yako.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

    Akili za wapi hizi hata watoto wa madrasa wanajua israel ipo kabla Yesu hajazaliwa na mji mkuu ni Jelusalem. Yesu alizaliwa Bethelehem ya Uyahudi. Hiyo miaka sabini , hujui israel walikuwa wapi, na kwa nini walikuwa huko . Uliza ujifunze
  11. R

    JamiiForums Tanzania HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

    Ninachokiona Hamas wanategemea sana sana kelele za walimwengu anazopigiwa Israel, ila baada ya tarehe 10 tutashudia umwagaji mkubwa wa damu , na kelele nyingi za kimataif kwa Israel. Wakati mnamuona hamas shujaa kwa kukataa kusitisha vita , mtakuja hapa mnalalamika juu vifo vya wanawaweke na...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Israel yaiomba Hamas iwaoneshe kwanza orodha ya mateka waliobaki nao hai kabla hawajatia saini

    Huo ni mtego kwa hamas , ifike trh 10 hawajaachia mateka , Rafa itegeuka dimbwi la damu. Najua mtalia japo sasa hivi mnaibeza israel.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

    Acha waune, Palestina waliua wayahudi wakiwa kwenye tamasha ukipenda mziki, wao wamewaua wakiwa kwenye kuchukua chakula , si mnajua hao ni watu wa visasi!
  14. R

    JamiiForums Tanzania Hamas wasema wako tayari kwa suluhu na kwa vita pia.Waziita juhudi za Biden kuhusu Gaza kama ni diplomasia ya askirimu

    Yeye yupo uturuki analala , anakula vizuri , gaza wanateketea.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kikubwa Israeli kimepigwa Makombora

    Kazi ya dini hiyo , wenye akili wanakua mazuzu, dhaifu anakua jasiri, kipofu anaona.
Back
Top Bottom