Recent content by Rozinna

  1. R

    Nitapata wapi Nyimbo za Kaptain Komba

    Habarini ndugu zangu. Nawaomba mwenye nyimbo za Mh Captain Komba ya mp3 au video nitashukuru sana wana ndugu. Asante
  2. R

    Serikali yashindwa kesi na Wachina walioshtakiwa kwa uvuvi haramu

    Salaam, haya wale mlio kula samaki za Magufuli mjitaarishe kuwatapika ama pesa mkononi.wachina wameshafanya yao sasa MCHEZO UMEJEUKA KINYUMENYUME!!! Swali, Nani hawajibishwe na deni, je ni Watanzania au Mheshimiwa? Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa meli ya...
  3. R

    Wanyama wa Kitanzania katika fukwe za nje.

    Kwa wote Wazalendo wenzangu.Mungu Ibariki Tanzania mungu Ibariki Africa. Nimekuwa nikifuatilia sakata la uhuzaji wa wanyama pori wetu kutoka Tanzania kwenda nchi za nje na madhara yake kwa ujumla kwenye soko letu la Tourism. Quoted" wildlife resources in Tanzania provide an annual income of...
  4. R

    Masogange achukua uraia wa Afrika Kusini, Sasa kuitwa Thando

    Nimekusoma mkuu, inasikitisha sana!!!
  5. R

    Masogange achukua uraia wa Afrika Kusini, Sasa kuitwa Thando

    Salaam wana Jamii, Nawasalimu wote wazalendo,nimeshangazwa sana na hii habari ya kwamba Agness Masogange amekuwa raia wa South Africa.nimecheka sana sana na kushindwa kumezea hili jambo.kwa ufupi simfahamu sana huyu Agness bali nimewahi kupata uchafu wake kwenye internet hapo nyuma. Napenda kua...
  6. R

    Nitapata wapi Nyimbo za Kaptain Komba

    Habarini, naomba kujuwa wapi naweza pata nyimbo za capt Komba au ToT. Nimetafuta youtube bila mafanikio yeyote. Asante
Back
Top Bottom