Hivi wanasiasa wanatuchukuliaje ss walimu! Au wanatuona ss tuna ubongo wa kuku? (Yaan wasahaulifu), maana nashangaa tangia miaka ya 1995 campeni za vyama vingi ilipoanza , ccm walikuwa wanabeba hiyo ajenda ya walimu hadi Leo na hawajafanikiwa, je hawaoni kama wanatudhalilisha ss walimu huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.