Nadhani kwenye uwekezaji wa nyumba ni unatakiwa uchukulie kwamba hela iliyotumiwa kujengea ni kama umeiweka(fixed account) na kuiweka huko inakuingizia kipata kutokana na kodi.
Pia kadiri muda unavyoenda thamani yake inapanda hivyo kama ukitaka kuiuza hautauza kwa thamani ileile uliyotumia kujengea.
Kwani Magufuli alikua na fani hiyo?,Magufuli mwalimu wa kemia sasa Mwalimu wa kemia na uhandisi wapi na wapi?
Mara nyingi kwenye wizara,watendaji kama makatibu wa wizara ndio hua wenye fani kulingana na wizara husika.
Labda kama kuna kipengele nilichokosea, maana kwa email niliyotumia ni uhakika sijakosea maana ndio ninayoitumia kila sehemu na hata nikijaribu kufungua account nyingine kutumia email hiyohiyo inasema inaexist means ndio hiyohiyo ninayoiandika.
Labda nifungue email nyingine,then nisajili...
Habari comrades?
Nimejisajili ajira portal wiki ya tatu sasa ila kila ninapo log in,inanilete account is inactive.
Msaada jinsi ya kuiactivate, sijatumiwa email ya kuactivate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.