Recent content by Rosed95

  1. R

    Serikali iangalie suala la ajira kwa undani

    Ni kweli yani Ni Jambo ambalo linawezekana ila wakulifatilia ndo changamoto
  2. R

    Serikali iangalie suala la ajira kwa undani

    Ajira katika nchi yetu ya Tanzania imekuwa Ni changamoto kubwa Sana kwasababu imezoeleka kwamba mtu anapomaliza chuo anategemea kupata ajira Lakini unakuta wakimaliza chuo watu Kama laki mbili kwamfano Kati ya hao watakaoajiriwa wanakuwa Ni elfu kumi wengine wote wanabaki mtaani wanakuwa hawana...
  3. R

    Nashauri Serikali ifanye haya ili wajasiriamali waweze kukua

    Napenda kuongelea kuhusu ujasiriamali kwasababu wajasiriamali wamekuwa wengi na Mimi nikiwemo kila mtu anatamani kuinuka kutoka pale alipo kwamfano mtu mwenye mtaji mdogo Kama 50,000 anakuwa anatamani mtaji wake ukue kutokana na kile anachokifanya, lazini kutokana na changamoto mbalimbali...
Back
Top Bottom