Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kupata nafasi ya kuanza ndani ya kikosi cha Yanga mpaka sasa.
Ata ao waliosajiliwa Yanga wakitokea Simba bado hakuna aliyefanikiwa kuanza kikosi cha kwanza cha Yanga.
Kama Engineer anapitia uku jamiiforum namshauri yeye na wenzake waka mchukue Lamso wa KMC yule Dogo ata kwenda kumpa changamoto ya kutosha Yao Kwasi.
Dogo amekamilika anastahili kucheza timu ya Mabingwa.
Kama ni hivyo mbona Simba kwenye usajili wa dirisha kubwa wame endelea kupuyanga?
Debora aliyeonekana kama mchezaji wa maana tayari kocha amuelewi, uyo Ahua ndio kabisa mashabiki awamuelewi mmerudi kulekule kwa Kibu ndiye mnaye mtegemea atawavusha robo.
Uyu Mwanba anapiga kazi sana, kama ingekua ni kazi yake binafsi nafikiri angekua namafanikio makubwa sana.
Saa kumi na nusu Alfajiri yupo pale amesha anza kuonana na wagonjwa, mida ya saa 2 au tatu usiku bado yupo pale Hospitali mi sijajua jamaa uwa analala saangapi.
Sasa sijui anaishi karibu...
Mbumbumbu wasio daiwa huu ni msimu wa 4 mfululizo awana ata kikombe cha kahawa zaidi ya sera yao ya ukizidiwa uwanjani uje na mpango wa kuhamia Burundi.
Simba lazima wa muogope Gamond maana mkwala wa Gamond kwenye Derby anasema: Mpinzani atafungwa magoli kulingana na Shauku aliyonayo.
Yaani wingi wa hamu yako ndio sawa na magoli utakayo fungwa.
Marekani ndio baba/kitovu Cha uasi duniani Marekani haijawai kua na demokrasia na haitotokea siku Marekani iki jaribu kutekeleza demokrasia nje ya Marekani. Sera za Marekani nje ya nchi yao ni kupora na kuzulumu rasilimali za watu.
Leo awa wazee kwenye defence ya Simba wamekutana na namba tisa wa kuwa challenge Fulu zuru Maganga ni namba tisa mwenye mwili, nguvu na kasi wazee wanapatashida kwelikweli sijui kama mpira ukiisha watapata muda wa kwenda kuvuta kiko.
Upinzani usipo ungana kwa dhati itawachukua miaka mingi kuiondosha CCM, baada ya uchaguzi huu malalamiko ya upinzani watakua kwa NEC kwamba wameibiwa kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.