Number yako watakua wameipata zoom kama ulishawahi ku apply kazi huko, Ila mimi hawakufanikiwa kunitapeli. So kuwa makina hawa matapeli ni wengi huwa wana tengeneza kazi na kuzi post online ili wawa tapeli watu wenye shida na ajira na kuna wakati huwa wanakupigia simu wanakuambia wanakuita...
jamani wale majamaa wanaojiita Quality service mbona hawapo kwenye hi list link hiyo hapo tizameni wenyewe KaziBongo - Jobs in Tanzania: MAWAKALA WA AJIRA TANZANIA - JOB RECRUITMENT AGENCIES IN TANZANIA
jamani wale majamaa wanaojiita Quality service mbona hawapo kwenye hi list link hiyo hapo tizameni wenyewe KaziBongo - Jobs in Tanzania: MAWAKALA WA AJIRA TANZANIA - JOB RECRUITMENT AGENCIES IN TANZANIA
Soma Title ya topic Kwakukusaidia mimi nataka kupata update kuhusu yeyote aliyetumiwa e-mail kuhusu kuitwa kwenye kazi Mwanza Community Bank..............
Jamani kwa yeyote aliyetumiwa e-mail kuhusu kupata kazi Mwanza Community Bank naomba atujulishe tupate uhakika wamesha anza kuwatumia watu e-mail.....:shocked::shocked::shocked:
Jamani kwa yeyote aliyetumiwa e-mail kuhusu kupata kazi Mwanza Community Bank naomba atujulishe tupate uhakika wamesha anza kuwatumia watu e-mail:shocked:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.