Recent content by roma lubango

  1. roma lubango

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Wanasema kaka unataka kupata local channels,unapeleka kadi ya king'amuzi cha sasa kwny shop zao ukiwa na sh 24,000. Wanakubadilishia kadi na kukuoa nyingine ambayo sasa,kama hela inakata,ndo unapata zile za bure.
  2. roma lubango

    Nimeamua kurudia mitihani ya advance 2018, je nimefanya maamuzi sahihi?

    Huyo anayesema utakuwa mwl,kwani unapomshauri asiache chuo,aendelee na diploma,atakuwa anafundishwa na nani? Achana na mawazo ngando na mitazamo ya watu wa vijiweni..
Back
Top Bottom