Tunaiga sana. Elimu yetu ina walakini. Tukiwa tunasoma chuo, ili kufaulu lazima usome madesa na kuyaelewa kama yalivyo. Hatukuwa tunasoma vitabu, ambavyo vinachokoza akili kufikiria na kutengeneza majawabu ya changamoto au mahitaji ya maisha.
Kwa sababu sisi hatukuwa trained hivyo, hata watoto...
Serikali haina mwenye nayo peke yake...hata mlinzi getini anaweza kuwa na kitu kikubwa kuliko tunavyodhani.
Uadilifu ulitujenga kuiheshimu na kuitumikia seriali.Tukawa wazalendo. Siku hizi watu wapigaji wanataka kutumia kivuli kwamba serikali kubwa ili wao waendelee kula kwa upole.
Kwani mlinzi...
Imebomoa mambo mengi kuliko kujenga. Imeleta madhara makubwa kuliko faida. Sidhani kama ilikuwa ina mashiko.
Moja ya makosa makubwa kuwahi kufanyika...It has been a tactical mistake and error of judgement!
Hii pia ilikuwa moja ya project zetu. Tuondoke kwenye mada. Ila siku hizi watu wamekuwa wabishi.
Novena inafanya kazi. Hawaondoki kwenye mada kabisa :D :D :D :D :D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.