Recent content by Rogojin The Idiot

  1. R

    Shetan gani kawaingia madada wazuri hivi wanavuta shisha jamani

    Tunaiga sana. Elimu yetu ina walakini. Tukiwa tunasoma chuo, ili kufaulu lazima usome madesa na kuyaelewa kama yalivyo. Hatukuwa tunasoma vitabu, ambavyo vinachokoza akili kufikiria na kutengeneza majawabu ya changamoto au mahitaji ya maisha. Kwa sababu sisi hatukuwa trained hivyo, hata watoto...
  2. R

    Kujazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha ni raha ya ajabu!

    Wewe unanena kwa lugha gani? Maana wakati wa Pentekoste, walioongea kwa lugha ngeni, walisikika
  3. R

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Serikali haina mwenye nayo peke yake...hata mlinzi getini anaweza kuwa na kitu kikubwa kuliko tunavyodhani. Uadilifu ulitujenga kuiheshimu na kuitumikia seriali.Tukawa wazalendo. Siku hizi watu wapigaji wanataka kutumia kivuli kwamba serikali kubwa ili wao waendelee kula kwa upole. Kwani mlinzi...
  4. R

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Ila watu ni watu ambao ni wafanyakazi wa serikali.Wao sio serikali. Huwa wanakuja na kwenda kadri muda unavyoenda. Tusisahau hilo.....
  5. R

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    na imewafanya TEC waikazie hii serikali hadharani kuwa haitendi haki...angali damage iliyotokea?
  6. R

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Eti wana plan bora zaidi ya kuyamaliza...maji yakishamwagika :D :D :D :D
  7. R

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Yule baba alivyokuwa anahema baada ya kwenda kuhakiki bei ya gesi...dahh
  8. R

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Imebomoa mambo mengi kuliko kujenga. Imeleta madhara makubwa kuliko faida. Sidhani kama ilikuwa ina mashiko. Moja ya makosa makubwa kuwahi kufanyika...It has been a tactical mistake and error of judgement!
  9. R

    Kuibuka kwa 'Babu wa Loliondo' wakati wa Sakata la DOWANS....

    Hii pia ilikuwa moja ya project zetu. Tuondoke kwenye mada. Ila siku hizi watu wamekuwa wabishi. Novena inafanya kazi. Hawaondoki kwenye mada kabisa :D :D :D :D :D
  10. R

    Polepole - Hii kauli yako umeitoa wapi kwenye Biblia?

    Unaleta mada za kufikirika halafu unalazimisha uwe Polepole
  11. R

    Polepole anakabia juu. Mnoo, machawa wanakanyagana tu

    Kuna mwingine anatembelea balozi kuulizia bei ya gesi :D :D :D :D :D
Back
Top Bottom