Recent content by Rogart

  1. R

    TV Show: Family Full Mapesa Show

    Naam wana JamiiForums! Msikose kuangalia kipindi maridadi kabisa cha FAMILY FULL MAPESA kupitia STAR TV kila JUMAPILI SAA 12:30 - 1:00 JIONI. Hiki ni kipindi cha kifamilia ambacho watu wanapata bahati ya kushuhudia maswali na majibu kibao yanayolenga kuelimisha na kuburudisha. Pia...
  2. R

    TV Show Mpya: FAMILY FULL MAPESA

    System ya maswali ni open. Haihitaji kufika chuo kikuu kuweza kuyajibu yale maswali. Ni maswali yanayohusu mambo tunayokumbana nayo kwenye jamii kila siku. Kuhusu system ya usomaji maswali - hii show ina fit kwenye category ya reality show. Kwa hiyo idea ni kuwaruhusu washiriki na host...
  3. R

    TV Show Mpya: FAMILY FULL MAPESA

    Kiroroma, Ahsante kwa mchango wako. Set za studio nimezi-design mwenyewe. Ni mabango tu nimeyatengeneza ambayo naweza kuyasimamisha popote pale..hata sebuleni...lol! Anyway, idea yangu ilikuwa ni kutengeneza set ambayo itavutia "mtanzania wa kawaida." Unapofanya hizi shughuli inakubidi...
  4. R

    TV Show Mpya: FAMILY FULL MAPESA

    Kuna namba ambazo huwa zina scroll wakati wa kipindi. Hizo ndio namba za kuwasiliana nasi. Lakini kwa kifupi ili kushiriki inabidi timu ya watu 5 wanaohusiana kindugu wajikusanye. Ndugu wanaweza kuwa ndugu wa damu, wakambo, na mpaka wakwe (shemeji, wifi, na nk). Hakuna gharama yoyote ya...
  5. R

    TV Show Mpya: FAMILY FULL MAPESA

    Ahsante Lizzy kwa maoni yako. Labda tu ningekuuliza kama unazungumzia ile episode ambayo host alikuwa peke yake akielezea mtiririko wa show? Kama ni hiyo, basi ililazimu kutengeneza ile special episode kwa ajili ya kuwaelewesha watazamaji. Kwa sababu, watazamaji wengi walikuwa wanawasiliana...
  6. R

    TV Show Mpya: FAMILY FULL MAPESA

    Hodi hodi wanajamvi. Kwanza napenda kuwapongeza kwa kazi mnayoifanya ya kujadili na kuchambua masuala ya taifa letu. Iwe inahusu masuala ya kisiasa, kiuchumi, kijamii au kimahusiano, moto wenu ni ule ule tu. Hongereni sana. Mnatufungua macho wengi wetu ambao tumekuwa wasomaji kwa muda mrefu...
Back
Top Bottom