Tanzania Bara, kila halmashauri ina idara ya ardhi inayosimamia masuala yote ya ardhi chini ya Kamishna wa Ardhi. Ni muhimu kila mmiliki wa ardhi awe na hati/cheti halisi cha hakimiliki kuthibithisha haki yake ya kumiliki ardhi kisheria.
Hati/cheti cha hakimiliki ya kimila chini ya Sheria ya...
Kifungu cha 219 Kanuni za Adhabu, cha Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania, kama zilivyorejewa mwaka 2002, kinakataza kabisa mambo ya utoaji mimba!
Tafsiri yake ni kuwa, mwanamke anaweza kutoa mimba kwa kisingizio chochote kile, tena bila sababu ya msingi, kuwa mama huyo kuendelea kulea mimba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.