Vodacom Tanzania km mnavyojiita
Sijwahi kuacha salio kwny line yangu nikaikuta hata iwe sh 10/huduma kwa wateja wanasema sina huduma yyt ya makato toka kwao lkn kila siku nakwata salio/hvyo basi nimefanya mahamuzi magumu line nimeikata kwa ss niko TTCL
Dawasco
Mbezi Juu barabara ya kwenda St Marr’s wiki ya pili sasa maji hayatoki ndani tunachota barabarani kwny bomba lililopasuka tena kwa kujificha/Mmefunga mabomba mapya mpk leo hamjayaunganisha sijui sisi tuishije ili hali mnajua wengi wetu tunatumia vyoo vya ndani ambavyo vinahitaji usafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.