Jana nikiwa njiani kutoka kazini. Nilipanda bus pale magomeni.
Tulipofika kinondoni mkwajuni aliingia mdada mtanashati kwenye bus na kuketi nami.
Kwa kuwa nilikuwa nikila korosho sikuwa na budi kumkaribisha, yule dada akanishukuru lakini akaniomba radhi na kuniambia yeye huwa ana allergy na...
Mchagua jembe hafai kwa ukulima, wewe una yako na si kutaka kujua kuogelea. Labda utuniambie unataka kujifunza kuogelea bwawa la chumvin...!!
Na swala la kutaja umri na kujifunza kuogelea vinauhusiano gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.