Wanabweka kama ma mbwa majalalani,mengi hayapandi vyeo,yamepigwa bani hata yaliyo kijijini mtandao hakuna yote yamejumuishwa.
Ndio ujue ni majinga kweli kweli.
Ni wapumbavu mkuu,ndio mana wakitoka wakawa na uongozi wa juu,hayakumbukanagi.
Huoni nyerere,majaliwa,na wengine waliokuwa walimu.
Kada imelaaniwa hii ni ya kukanyaga tu.
Huenda kada ya walimu ni kada yenye laana, masikini na isiyo jielewa, hii ndio kada pekee inayo tumiwa na CCM kuwekwa madarakani, Oktoba 29 wao pia walichangia kwa asilimia kubwa sana, vipande vya laki na 40,140000 walivyo pewa wakaona ndio posho ya maana, sasa hivi wanalia mtaani wamegomewa...
Shaka ni kiongozi mzuri kweli, wilaya ya kilosa amejitahidi sana.
Sema kuna sehemu kijiji kimoja bado kuna mambo magumu sana pale, kijiji cha Kwambe pale anatakiwa kupaangalia kwa umakini sana. Kile kijiji ni kama kiko gamboshi, kipo njiani kabisa hakina chochote, nilitaka ku invest pale mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.