Recent content by Rocky City

  1. Rocky City

    Hivi hakuna Kiongozi wa maaskofu ili awaonye wenzake waache siasa nipo church katoliki nimeamua niingie tu JamiiForums

    Toka uende zako,acha upumbavu wako,na lenyewe sijui linaitwa baba uko liliko
  2. Rocky City

    Tanzania sasa ni zaidi ya somalia

    Huu ni ujinga wa hari juu sana,yani Tanzania tunahitaji kupata rais atakaye kuwa na nguvu ya kukemea haya mambo
  3. Rocky City

    PostGE2025 Watanzania wavimiminia na kuvimwagia Sifa na Pongezi vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa Uhodari na uimara wake katika kulinda Taifa letu

    Ww umeongea bila uchawa mkuu,mwanzo nilihsi na ww unatafuta teuzi kwa kububijikwa na machozi,
  4. Rocky City

    PostGE2025 Kamanda wa Janjaweed ahukumiwa jela miaka 20 na ICC.Je, walioua watu oktoba 29 watapona?

    Tanzania kumbe haikusaini mkataba ule wa Roma ulio zaa ICC.
  5. Rocky City

    Taarifa kwa Umma: Maandamano kesho yanaendelea

    Tufanywe uwe wew mkuu,lazima utumie akili ndogo,kama pole pole alikamatwa leo aje mtu aseme mm.ndio.kiongozi wa mandamano unawaza nini hapo,,fikiria.vyema tena
  6. Rocky City

    PostGE2025 Anaandika John Pambalu: Mkiijua political game plan, hamtamshambulia Chalamila kwa matamshi yake dhidi ya Padri Kitima au masheikh dhidi ya Nchimbi

    Safi sana,umeandika madini fikirishi yenye hekima ya juu mno,ngoja aje wa kububujikwa na machozi ya
  7. Rocky City

    PostGE2025 Hatimaye mali za vurugu za Oktoba 29 zapatikana, hongera RPC Mwanza

    Wajinga hao harafu huwa hawatumii akili
  8. Rocky City

    PostGE2025 Mabondia watangaza kuwapiga waandamanaji Desemba 9

    Ni wapumbavu na wanaamini hiyo inawasaidia.
  9. Rocky City

    PostGE2025 Doria mitandaoni zinaendelea

    Haububujiki kwa machozi,damu na jasho?
  10. Rocky City

    Seneti ya Mambo ya Nje ya Marekani yasema Serikali ya CCM lazima Iwajibishwe Kwa Matendo yake

    Ccm ingefanya hiv kidogo wangejinasua,sijui uko hawana watu wa pla,hapa ilikuwa kutoa kafara kadhaaa,baada ya mda mnawapiga chini,mambo kwenye kamera mzigo umeisha,sasa wao wanakazana who are you,hii itaenda kweli ki mzaha mzaha.
  11. Rocky City

    PostGE2025 Kanisa Katoliki lipo tangu Karne ya 4, huyu Mama ana jipya gani kulitisha?

    Kwa muktadha huo,mtume si kaja nyuma ya masiha?
  12. Rocky City

    Nauza pikipiki Yamaha 300k

    Jamaa kanichekesha sana🤣🤣🤣
  13. Rocky City

    PostGE2025 Serikali inapambana kupita KIASI kurudisha nchi kwenye ukawaida

    Chalamila nimeona nafsi yake kuna mda inamuuma,nazani hata viongozi wengine pia. Hapa alimvua nguo chalamila
Back
Top Bottom