Tufanywe uwe wew mkuu,lazima utumie akili ndogo,kama pole pole alikamatwa leo aje mtu aseme mm.ndio.kiongozi wa mandamano unawaza nini hapo,,fikiria.vyema tena
Ccm ingefanya hiv kidogo wangejinasua,sijui uko hawana watu wa pla,hapa ilikuwa kutoa kafara kadhaaa,baada ya mda mnawapiga chini,mambo kwenye kamera mzigo umeisha,sasa wao wanakazana who are you,hii itaenda kweli ki mzaha mzaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.