Recent content by Rocky City

  1. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Nchimbi hakuwa chawa ndani ya CCM alikemea maovu

    We ni lipumbavu sana,,,Kama Mungu yupo kweli akupitishe kwenye majuto ya mapema.
  2. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Umeandika kitaalamu sana mkuu,yani kitaalamu mno,na kuna mchoro nauwaza hapa wangeunganisha ccm wangepiga bao sana.TISS wanatakiwa kukaa watu makini sana.
  3. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    We ni lijinga tu
  4. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Nilesh: Pesa nilizompa Heche hazikuhusiana na CHADEMA

    Alikwisha toa maelezo,hii taarifa ni moja ya taarifa za uongo mno
  5. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Siku 5 za Marathon ya CHADEMA Tsh. Milioni 70 zachangwa

    Waliokuzaa wote ni vichaaa
  6. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yaingia Mkataba wa Shilingi Bilioni 8 na Kampuni ya Ushawishi ya Marekani katika 'kulinda taswira ya nchi'

    Mkuu sasa hiv nchi ipo kwa wapiga dili tu,yani walio juu ndio mda wao wa kupiga dili,viongozi wenzetu wameamua iwe hivyo,hakuna anaye jari,shamba la bibi hili
  7. Rocky City

    JamiiForums Tanzania Kama maombi na dua yangekuwa yanafanya kazi watu wangeikimbia siasa

    Umenena kweli mkuu,kuna mambo huwa yanafikirisha sana mkuu,
Back
Top Bottom