Nakubaliana na wewe kabisa baba alichepuka akapata mtoto wa kike baada ya mama kugundua akamwambia kamlete aje akae na ndugu zake akaletwa akiwa na miaka 3 mama alimlea na kumpenda Kama mwanae wa kumzaa na yeye hakujua chochote kwamba yule si mama yake mpaka alivyofika form four watu wakaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.