Recent content by robertmpumilwa

  1. robertmpumilwa

    Kioo cha Pixel 7 pro kinahitajika

    Wakuu mwenye kioo cha pixel 7 pro used au mpya nahitaji kununua. Anicheki kwa 0624373709
  2. robertmpumilwa

    Google inajaribu kuweka mfumo wa kuchuja kelele kwenye calls

    mie nina google pixel 6 pro nimeupdate juzi kwenda android 13 ila hiyo calling clear sijaiona wala kuipata!! Sent from my Pixel 6 Pro using JamiiForums mobile app
  3. robertmpumilwa

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    NAMI NAOMBA MSAADA WA KUROOT GOOGLE PIXEL 6 PRO
  4. robertmpumilwa

    Samsung inagoma kuinstall gbwhatsapp baada ya kuupdate ROM

    simu yangu ni samsung a71 5g inanigomea kuninstall gbwhatsapp baada ya ku update rom kwenda android 13!msaada jaman kama kuna njia ya kufanya. MSAADA WATAALAMU PLEASE
  5. robertmpumilwa

    Angalia uwezo wa Samsung Galaxy S22 Ultra

    bos samahan tena kati ya samsung a71 quantam 5g na vivo x80 pro 5g ipi vnzr zaid hapo???kuna jamaa anayo hiyo vivo
  6. robertmpumilwa

    Angalia uwezo wa Samsung Galaxy S22 Ultra

    sawaa nashukuru mkuu!!kwahiyo unanishauri nibaki nayo hiihii au nibadili nichukue note 10 au s10 zote samsung chief mkwawa
  7. robertmpumilwa

    Angalia uwezo wa Samsung Galaxy S22 Ultra

    nina samsung a71 quntium 5g vipi camera yake ubora na samsung note 10???naomba kuuliza chief mkwawa??maana nataka kubadili simu!!!
  8. robertmpumilwa

    Haki ipoje hapa

    asnt kwa ushauri kiukwelii kuna muda sitaman kabs kumwona huyu dogo kwa jinsi alivyoumizwaa
  9. robertmpumilwa

    Haki ipoje hapa

    asnt maana sidhani kama dogo atapona aiseee!!ila ukweli alikuwa ni mwizi
  10. robertmpumilwa

    Haki ipoje hapa

    naomba kuuliza!hivi sheria ipoje kwa mtu kuchukuliwa kwa kuhisiwa kuwa ni mwizi na kufungiwa ndani na mtu mmoja anayemhisi kamuibia na kumpiga na vitu vyenye icha kali ikiwa ni pamoja na visu, koreo, nk! Hadi kumnyofoa kucha zote na kumchanachana mwili mzima na kumnyofoa nyofoa nyama mwilin na...
  11. robertmpumilwa

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    msaada nami link ya kudownload google camera kwa samsung a71 5g quantamu!
  12. robertmpumilwa

    Star Times Premium App no charge

    sawa tuletee na hiyo ds. v mkuu
  13. robertmpumilwa

    Star Times Premium App no charge

    mkuu vip kuhusu ds.. v???maana az. m ipo poah kabs
  14. robertmpumilwa

    Star Times Premium App no charge

    mie nahitaji mkuu sanaa!naomba msaada wako
Back
Top Bottom