Recent content by robertkapembwa

  1. R

    Sababu za kufichwa kwa kitabu cha Enoch

    Mam sio kweli! Mambo gani aliyofanya yesu na hayaandikwa? Mbona Yesu kaandkwa na wahubiri wanne (matayo, marco, luka na yohana) lakin wote wanaeleza yale yale tu.. apo si ndo kila mmoja angeandika ambayo mwenzie hajaandika. kama wameandika hadi alivokwenda kwa zakayo sasa wameacha jambo gan la...
  2. R

    Kwanini saba iwe moja kwenye masaa?

    hahahahaahah mbona mnaojibu hili suala la 666 mnachagua mifano mitatu tu ya masaa mnayotoa ili kuleta jibu 6, mfano ukichukua 7-1=6, 8-2=6, 10-4=6, 11-5=6, 12-6=6, hapo si tutapata 666666 ambayo haina maana yoyote
Back
Top Bottom