Recent content by roadmaster 2

  1. R

    JamiiForums Tanzania Wakuu ajira za polisi zinatoka lini?

    Kama huna million mbili hupati hiyo kazi!! Kama hutaamini utaona!!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Waafrika tuliwafukuza wakoloni sasahivi watu wetu wanakimbilia nchi za Ulaya kutafuta maisha mazuri. Isn't that failure?

    Mwafrika Hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo ya kisiasa ,kijamii,na kiuchumi
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

    Ukitaka pesa fungua kanisa wajinga ni wengi
  4. R

    JamiiForums Tanzania ALINIRUHUSU KUINGIZA KICHWA TU!!

    R I P jamii forum
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Dar ina wanaume wengi zaidi wenye hulka za kike (feminine)?

    Wewe umejuaje!? Au mwenzao!?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kutokujua Kingereza kumeongeza ujinga na uduni wa fikra kwa Watanzania

    Usiombe uwe kwenye panel ya usail wa mashirika ya kimataifa!! Utamhurumia mtanzania!! Kweli utashangaa
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kutokujua Kingereza kumeongeza ujinga na uduni wa fikra kwa Watanzania

    Tafuta mahali upewe kinywani na bite unayotaka Kisha nitumie bill nilipe!!! Watz!wengi wanakichukia kiingereza!! Sijui kwann!? Yan mtu anaogopa na mkuchukia hata mzungumzaji!??
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kutokujua Kingereza kumeongeza ujinga na uduni wa fikra kwa Watanzania

    Tafuta mahali upewe kinywani na bite unayotaka Kisha nitumie bill nilipe!!! Watz!wengi wanakichukia kiingereza!! Sijui kwann!? Yan mtu anaogopa na mkuchukia hata mzungumzaji!??
  9. R

    JamiiForums Tanzania Naona mtu akibiwa vitu kapeleka kesi kwenye Mahakama ya Jadi

    Mahakama za jadi ndio Kila kitu!! Mtu asikubabaishe bwana!!? Yan Pesa,huna !!! Mkwara huna!! Nguvu huna!! Akili huna!! Mbio huna!! Sasa hata uchawi!? Hujui!? Utaishije!?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Tuna askari dhaifu sana. Kama huyu Agonza licha ya kuwa afya mgogoro ila kamtandika askari basi tunalindwa na watu dhaifu sana.

    Huyo Dr sio dhaifu hata wewe na dingi Ako anawabonda usimchukulie poa!!! Anyway polisi wetu bila bunduki ni watamu sana sana!! Yan man to man!!?
  11. R

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Nitakwenda Tabora kumtetea Sophia, kumtongoza Mkuu wa Mkoa siyo Jinai

    Hao ndio wanaume wa Kanda ya ziwa!!?wageni wa mapenzi ushamba mwingi!! Akina dada mjifunze sasa
  12. R

    JamiiForums Tanzania Polisi: Conrad Agonza Kayoza anashikiliwa kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari wa Usalama barabarani

    Kwa polisi wetu Ninavyowajua huyo jamaa Hana " makende" mida hii yani kende zimepondeka kama makande ya kipare
  13. R

    JamiiForums Tanzania Polisi: Conrad Agonza Kayoza anashikiliwa kwa kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari wa Usalama barabarani

    Hilo jina kama la buyenzi Bujumbura!!! Huko burundi
Back
Top Bottom