Recent content by Rmag

  1. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    Chuo kizur cha engineering ni Must angalia ata rank
  2. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    By the way must ina cv kubwa kuliko dit ni chuo kikubwa dit ni institute tu ….
  3. R

    Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

    DIT ni pazuri sana kwa elimu ila mfumo wake kufaulu ni ngumu kidogo inataka uwe very serious… Must ni bola kielimu kipo vzur ata maisha ya huko ni cheap sio kama dar nakushauli nenda must
  4. R

    Tunaomba mlio kwenye mahusiano mtushirikishe jinsi mlivyoboresha mahusiano yenu

    Guys mi natafuta mchumba mwanaume alie tayari kufunga ndoa by next year,mimi ni Umri wangu 21 Kazi engineer Maji ya kunde sio mweupe Sio mrefu Yeye awe Mkristo anaejitambua pls Umri usizidi 30 Awe na kipato kinachojitolesha kwake yeye kwanza, Asiwe muhaya waka muha sorry [emoji85]
Back
Top Bottom