Recent content by rkid49

  1. rkid49

    Natafuta chimbo la vifaa vya pikipiki

    Hello bosses, Nipo Mkoa wa Tabora, natamani kufanya biashara ya Spare za pikipiki na nimefanya research ya pikipiki gani zinapatikana kwa wingi ni hizi pikipiki za kichina kama sanlg, fekon, honlg, sinoray n.k. Nimekaa kwenye vijiwe vya mafundi kuona ni vifaa vya brand ipi vinapendwa kwenye...
  2. rkid49

    Fundi gari dodoma

    Nipeni location ya garage yenye fundi gari anayeaminika DOdoma
  3. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Asante kama unashauri kwa experience ya kumiliki gari...niko hapo kupokea ushauri nisije kukurupuka
  4. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Daah...kumbe kumiliki gari ni lazima uwe tajiri
  5. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Kipato kinatoa ruhusa...sijui kama hicho kipato changu ni sawa kuanza kumiliki ndiga
  6. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Asante sana,,,kwa maana hiyo gari kama brevis itanipelekea moto
  7. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Hapana...nimefanikiwa kufanya saving kama 6M ila nimechoka kupanda boda
  8. rkid49

    Kwa kipato cha Tsh. 600,000 naruhusiwa kumiliki gari?

    Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe. Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5 kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500 cc? Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu.
  9. rkid49

    Natafuta mchumba baadaye awe mke

    Njoo inbox tuone imzidi mingapi
  10. rkid49

    Natafuta mchumba baadaye awe mke

    Bado
  11. rkid49

    Natafuta mchumba baadaye awe mke

    Habari za majukumu Nimejitokeza hapa kwenu kwa lengo la kutafuta mchumba then baadae awe mke Sifa zangu: Rangi: mweusi Kimo: mrefu Miaka: 28 elimu: degree Location: mbeya Awe atleast na sifa hizi: Rangi: mweupe/ maji ya kunde Kimo: asiwe mfupi miaka: isizidi 30 Elimu: kuanzia sekondari Kwa...
Back
Top Bottom