Hello bosses,
Nipo Mkoa wa Tabora, natamani kufanya biashara ya Spare za pikipiki na nimefanya research ya pikipiki gani zinapatikana kwa wingi ni hizi pikipiki za kichina kama sanlg, fekon, honlg, sinoray n.k.
Nimekaa kwenye vijiwe vya mafundi kuona ni vifaa vya brand ipi vinapendwa kwenye...
Kwa kipato cha Tsh 600k kwa mwezi naruhusiwa kumiliki gari au niachane na mbwembwe.
Kama naruhusiwa kumiliki gari kwa mizunguko isiyozidi 5 kilometer kwa siku ni sawa kununua gari yenye 2500 cc?
Natanguliza shukrani kwa ushauri wenu.
Habari za majukumu
Nimejitokeza hapa kwenu kwa lengo la kutafuta mchumba then baadae awe mke
Sifa zangu:
Rangi: mweusi
Kimo: mrefu
Miaka: 28
elimu: degree
Location: mbeya
Awe atleast na sifa hizi:
Rangi: mweupe/ maji ya kunde
Kimo: asiwe mfupi
miaka: isizidi 30
Elimu: kuanzia sekondari
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.