hapo ndo watawakamatwa vizuri coz mwanamke huwezi kusema kuwa hushiki mimba huku unado na mwanamke mwenzako,pia kwa mwanaume huwezi cngizia huzalishi wakati unado na mwanamme mwenzako.Kama aliye mwanamke hashiki mimba atapimwa kuthibitisha pia aliye mwanamme pia atapimwa ka ni kweli hazalishi.So...
Baada ya kushinda uchaguzi wa urais,babu wa Zimbabwe anahutubia wapiga kura wake kuhusu swala la ndoa za jinsia moja.Babu anadai yeye hana tatizo na hao watu ila anachowataka tu baada ya kuoana mmoja wapo ambaye ni mke apate mimba biologically ambapo itathibitishwa na madaktari kuwa ni ya mme...
Mimi naona haina tija yoyote kwa sisi wasomi wazima kuendelea kutambishiana katika maswala ya vyuo,ukizingatia serikali yetu yenyewe haiko vizuri katika swala la elimu sasa ninyi mnaotambishiana vyuo mnadhani vyuo vyenu viko salama?
Kitendo tu cha mtu aliyesoma/anayesoma chuo kikuu kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.