Samahani Mkuu nimekuelewaaa vizur sana....lakini pia naisii wewe katika kusoma kwako koote umeona hilo neno chochote tu.....ivii ni kwel ujaona hilo neno kizur??
Jamani ndugu zangu habari zenu....
Samahanini sana naombeni msaada wenu sana nipo serious natafuta Chuo cha Afya kizuri Kwa maana wanafundisha vizuri. Nahitaji kusoma Clinical Medicine. Mwaka jana nilitafuta nilichelewa Kwa Mwaka huu nahitaji kwenda Chuo na sio kubaki tena nyumbani...
MATOKEO...
Jamani samahanini, mimi ni mgeni humu JamiiForums. Kwa sasa nipo Bagamoyo nimemaliza Advance mwaka huu lakini chuo nitaenda next year.
Baada ya kurudi jeshi mujibu wa sheria, nimefungua duka langu la nguo but still bado halijawa kubwa. Naombeni msaada nitakuzaje biashara yangu au nitapata wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.