Recent content by Ritarita

  1. R

    Sikiliza hadi mwisho vita kati ya GSM na Mo, Simba wanapoteana

    Mangungu yupo kwa kazi maalumu simba ya kufanya GSM atangaze brand yake kila mahala kwa kusaliti timu Mangungu akimtumia msemaji Ahmed Ally kuwavika mashabiki kilemba Cha ukoka kwa kuwasifu wachezaji wanaosajiliwa kwa kuwaita majina kama vile straiker refu kuliko goli, mlete mdhingu, nk...
  2. R

    Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

    Msemaji wa simba Ahmed Ally anatumika na viongozi wa Yanga kutoa Siri za timu hasa inapotaka kukutana na Yanga Aidha ni mtu anayewapamba wachezaji dhaifu/hawana kiwango kipindi Cha usajili. Hivyo anatumika kufanya propaganda ili kuwaaminisha Wana simba. Huyo anapaswa kuondoka simba akiwa pamoja...
  3. R

    Mangungu na Ahmed Ally watupishe Simba

    M/kiti wa Simba na meneja wa habari na mawasiliano Ahmed Ally wanapaswa kuachia ngazi kwani hao wanaihujumu simba kwa kufanya propaganda za kuisifu simba kwamba ni Bora ili ionekana ni timu Moja imara yenye wachezaji wazuri kumbe wanaifanyia propaganda ya kutufunga macho. Bila ya Hawa kuondoka...
  4. R

    Ufadhili mpya wa Simba, Je nani anahusika kwa mlango wa nyuma?

    Huyo jayruuty ni tapeli mkubwa! Viongozi watatueleza asipotekeleza, wameingia mkenge na ndo mwisho wa zama za uongozi wa mangungu, Ahmed ally na uongozi wote
  5. R

    Klabu ya Simba imesaini mkataba wa bilioni 38 na Kampuni ya JAYRUTTY mzabuni wa utengenezaji Jezi

    SIMBA MMEINGIZWA CHAKA, JAYRUTTY HAWANA UWEZO WA KUDHAMINI BIL 38! NEVER MTAAIBIKA SOON HAO NI MATAPELI
  6. R

    Car4Sale Pata gari lolote hapa. Lililopo nchini ama kuagiza

    I need Ist starts with no D
  7. R

    Full Time: Azam FC 1 - 2 Young Africans SC | NBC Premier League | Azam Complex | 10-04-2025

    Hii ndivyo tunavyoweza kusema Leo mechi ya Azam vs Yanga, Yanga wamecheza kwa nguvu kubwa na Kasi kubwa sana Leo, na hii inaweza kufanya tukaanza kuamini kwamba Yanga WAMEANZA KUCHOMA Yale mambo Yao. Mamlaka zifuatilie kwa karibu.
  8. R

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wizara ya afya kitazameni chuo Cha Tabora EA polytechnic kwa karibu, Wanafunzi wananyimwa kufanya mitihani kisa semester ya kwanza tu kisa kutokamilisha malipo ya ada hata kwa kiasi kidogo Cha elfu mbili au Tano kinachobaki, hii nimesikia wakilalamika kwamba Wana mitihani 24/2/2025 na...
  9. R

    KERO Chuo cha Afya Tabora EA polytecnic kinalazimisha wanafunzi kumaliza ada semester ya kwanza

    CHUO Cha TABORA EA polytechnic kimekuwa JANGA kwa wanafunzi wanaosoma hapo kwani wanachuo wanalazimishwa kumaliza ada ya mwaka mzima ndani ya semester ya kwanza na bila hivo wasiomaliza hawafanyi mtihani hata kama wamebakiza elfu mbili tu. Tunajua kwamba ada ndo inalipia gharama mbalimbali...
Back
Top Bottom