Recent content by Riheba

  1. R

    Aina za ultrasound machines na bei zake

    Habari wapendwa polen na majukum ya Kila siku. Jaman Mimi kama mwana familia naomba msaada kidogo wa kujua aina za ultrasound machines na bei zake. Kuna Uzi niliuona ukizungumzia kuhusu kufungua maabara hapa sasa naombeni msaada pia.
  2. R

    Naomba kujuzwa bei za mabati ya Alaf Versatile gauge 30

    Muongozo upi kaka kuna mahala nimeharibu
  3. R

    Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

    Wakubwa bei za bati alaf versatile na romantile bei gan I kwa sasa
  4. R

    Naomba kujuzwa bei za mabati ya Alaf Versatile gauge 30

    Jaman naomba mnisaidie kunijuza bei za mabati ya alaf versatile gauge30
  5. R

    Nawezaje kupata faida katika biashara ya duka la dawa za binadam ama mifugo?

    Habari zenu wana Jf ni matumain yangu kuwa mko salama. Kama topic inavyojieleza hapo juu naomba msaada wa kujua namna ya kuanzisha, kuendesha faida, changamoto na namna ya kuziepuka ili niweze kudum na kupata faida ktk biashara hiyo ya duka la dawa za binadam ama mifugo. Sijawah kbs kufnya...
Back
Top Bottom