Wadau kuweni na hekima basi matatizo na majanga yapo popote pale na mabadiliko huanzia kwako mwenyewe sasa mada mnazoziendeleza humu ni ugomvi acheni kila mtu ana uhuru wake poleni sana wandugu
Poleni ndugu zanguni Mungu awape moyo wa subira katika kipindi hiki na vyombo vya usalama vitoe sababu ya moto mapema iwezekanavyo
Mungu ibariki Tanzania
Kama lilivyo jina ni umoja wa katiba kwa hy km ilivyokuwa nia yetu katiba ibadilishwe kwa hy uwepo wenu ni muhimu bungeni kuliko tunavyofikiria vinginevyo hata umoja huu utakuwa hauna maana km endapo katiba haitapatikana
Tujishushe turudi ila vinginevyo kamwe katiba haitabadilishwa hata chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.