Iyo kaluli ya can't play two Defensive midfielder sidhani kama ni sawa, mbona kuna timu wanatumia na wanapata matokeo, nafkiri pia inategemea aina ya watu unaokutana nao ndo inqkusababisha uchezeshe wakabaji wangapi.
Nenda hospitali kwa matibabu mazuri zaidi.
Ukishindwa kabisa nunua na utumie fluconazole tabs, clotrimazole ya kupaka eneo husika then, uzingatie usafi & ukavu wa mwili wako na nguo za ndani. (hakikisha unazianika juani/unazipiga pasi)
Haaha so unahitaji ushauri mwingne zaidi ya ule wa daktari? kua makini na utakachoshauliwa. Afu next time ukiwa ujaelewa kitu uliza pale pale unapopewa ushauri.
Kuhusu kuzuia kupata choo kigumu apate maji ya kutosha na vyakula vyenye fibre, itafaa.
Mimi nafatilia uchambuzi wa kila mara umu, nilichogundua uyo mtoa post (Sergio 5) anachokiamini yeye ni kua Sergio ndo namba 6 bora duniani ata mkimletea mfano wa mtu gani hatokubali. Acheni kupoteza muda kubadilisha mtu anachokiamini.
Mie nnachokijua mifumo imebadilisha sana majukumu ya...
Unachelewa kama muda gani ivi? Pia umejaribu kubadilisha ulaji wako?
Kama dada yetu apo alivyosema physchological health ni muhimu sanaaa kwenye kuwahi/kuchelewa au kuenda raundi ngapi ni vyema ukafka hospitali kwa ushauri na uchunguzi zaidi.
Anhaa owkay, me nakushauri uende hosp. ukafanyiwe vipimo ili lijulikane tatzo nin. Na kama Rheumatoid arthritis ni vizur ukawai mana unavyochelewa ndo unaweza pata shida kubwa zaid.
kwanza imekuaje ameweka viwili? kutokuona siku zake sio lazima iwe dalili ya mimba yawezekana ni kitu kingne pia.
Na tunaposema njia za uzazi wa mpango zinazuia mimba sio 100℅ so ni vyema akapima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.