jamani haya manyanyaso yataendelea mpaka lini ikiwa idadi kubwa ya watanzania tena wasomi wenye uchungu na nchi yao kukosa tena haki ya kupiga kura ikiwa mahali walipojiandikishia ni vyuoni na mpaka xaxa uchaguzi vyuo vitakuwa havijafunguliwa.
mwaka 2010 ilijitokeza lakini na sasa inajirudia...
Jaman vp kwa wale mwaka wa pili walioomba mkopo this term,kuna chuo chochote ambacho kishatoa majina,
ama mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze!
j.pili bodi huwa hawafanyi kaz,hivyo transaction id yako haiwezi kukubali,hivyo jaribu leo j.tatu watakuwa tayar washaiconfirm,na hata ikikataa jaribu tena baadae lazma ikubali
yawezekana watu tukawa hatuelewani hapa, 2naposema continuing applicants 2namaanisha wale waliokosa mwaka jana, ambao mwaka huu wameomba tena na sio wale ambao wamefanikiwa kupata mwaka jana, ambao bado wananufaika na mikopo hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.