Mh waziri asiyekuwa na wizara maalumu Mh Mwadosya amewapongeza kamati ya PAC lakini zaidi CAG , pia amesema hakuna sababu ya kuficha lakini ukweli ni kwamba fedha ni za umma hivyo anawatia moyo wabunge wafanye maamuzi kulingana na kazi nzuri iliyofanywa na kazi ya PAC. mchango wake huu...
Mwigulu mbona mshamba kiasi hicho yani ameshindwa kuwashawishi watu waichague CCM matokeo yake anakwenda kumshawishi mgombea wa CHADEMA ajitoe ili wananchi wamkose wa kumpigia kura. Hii ni aibu kabisa na inathibitisha kuwa CCM haikubaliki tena kama wanashindwa kuomba kura najiridhisha bomu lile...
Wewe unashangaa mkuu wa wilaya Ndg Dr Norman Sigalla kumlinda diwani mwizi wa mabati kwenye shule huko mbeya? wewe fuatilia mkuu huyo ndiye mwizi kabisa kwani aliwahi kukusanya michango ya kujenga sekondari za kidato cha tano na sita alipokuwa mkuu wa wilaya ya Hai ambapo alijiundia kamati...
wewe unashangaa mkuu wa wilaya Ndg Dr Norman Sigalla kumlinda diwani mwizi wa mabati kwenye shule. wewe fuatilia mkuu huyo ndiye mwizi kabisa kwani aliwahi kukusanya michango ya kujenga sekondari za kidato cha tano na sita alipokuwa mkuu wa wilaya ya Hai ambapo alijiundia kamati kinyume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.