Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri kuwa wachezaji karibu wote wamepitia mafunzo maalum kutoka jeshi maalum la mapinduzi la Iran maarufu...
Yes parade ni jumapili tarehe 31 May saa 8 mchana kwenye kitongoji cha Islington kaskazini ya London.
Msafara utaanzia uwanjani Emirates na utapita katika maeneo ya Drayton Park, Aubert Park, Highbury Grove, barabara ya St Paul mtaa wa Upper au Upper Street na kisha kurudi uwanjani Emirates.
Ni masksuti ndo wapo field kutafuta.
Ila kazi ya kwanza ni kuondoa wachezaji (moving them on) kama Martinelly, Norgard, Jesus na hata kipa Kepa.
Ila Arsenal priority signings ni kiungo (kuziba nafasi ya Norgard akiondoka), mshambuliaji wa pembeni (winger) na mshambuliaji (kuziba nafasi ya...
Good analysis.
Kwa kuongezea nyama tu ni kuelewa khasa hii Section 7031 (c) yahusu kitu gani.
Ni kipengele kinoitwa Related Programs Appropriation Act ndani ya SD shughuli za nje ( Foreign Operations) ambacho charuhusu serikali ya Marekani kuweka vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya raia wa nchi...
Ufikapo wakti wa kuongea mambo ya maana usijizime Data completely, gentleman.
Marekani imesema kuwekewa vikwazo wa huyo Mafwele ni kitendo cha kushawishi uwajibkaji (accountablity) kwa sababu vitendo anovifanya Mafwele na genge lake ni vya kinyama na visivyo vya kawaida.
Pia Mafwele ni ofisa...
Mkuu, umeongea jambo la maana sana yaani ukiwa shabiki wa timu kama Arsenal yakupasa kutokata tamaa.
Nilipokua pale London mwaka 2004 niliona jinsi Invicibles walivyonyakua kombe lile pale Highbury Islington nahodha akiwa Patrick Vieira.
Lakini kuna kitu Arsene Wenger alifanya nacho ni...
Arsenal ni timu inochukiwa sana na kuonewa wivu na mashabiki wa timu karibu zote pale UK.
Lakini safari hii Arteta has just delivered the trophy.
Arsenal itakuwa timu tajiri zaidi na khasa wakifanikiwa kutwaa CL.
COYGs
If The Economist have decided to write this meaningful article about Samia Suluhu Hassan, then they are signalling something that is very important and significant.
Let’s wait and see.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.