Recent content by Richard

  1. Richard

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Lile shambulizi nchini Russia lisingeweza kumwachia jamaa na kikosi chake.
  2. Richard

    Mbozi: Zahanati ya Kijiji yafungwa kwa kukosa Wahudumu. Wananchi wateseka

    Serikali ingeendeelea kumwajiri huyo tabibu kwa mkataba maalum hadi hapo atakapopatikana tabibu kijana ambae ana asili ya hapohapo. Na wakati huohuo serikali yasomesha vijana ambao wamefaulu na watokea hukohuko Mbozi waenda pale Mbeya wasomea utabibu.
  3. Richard

    Picha: Tunaweka maslahi ya nchi shakani kuwaamini viongozi wanaopewa Uraia na Mataifa ya nje

    I couldn't agree more due to the fact that the guy who fled from Jirani and end up in states as a refugee was prepared to go back to jirani's backyard to take mr mwembamba out. Then when mazee realized what he was up to, they placed him under surveillance and later arrested him while he was...
  4. Richard

    Kukadiria Kodi ni jambo Moja na linahitaji Customer Care lakini Kukusanya Kodi ni jambo lingine kabisa linalohitaji Task force!

    Mkuu huko nje hakuna msalie mtume kodi lazima. Nchi zote za Ulaya na Marekani mtoto akizaliwa jina laingizwa kwenye kanzi data. Mchezo huanzia hapo. Akifika miaka 16 apewa namba ya bima (Tanzania ni namba ya TIN) na pale ndo huanza kufuatiliwa kama aenda shule au afanya kazi. Akifika miaka...
  5. Richard

    Picha: Tunaweka maslahi ya nchi shakani kuwaamini viongozi wanaopewa Uraia na Mataifa ya nje

    Mwambie akiwa angani siku moja kuelekea KIA afanye test ya mtandao.
  6. Richard

    Picha: Tunaweka maslahi ya nchi shakani kuwaamini viongozi wanaopewa Uraia na Mataifa ya nje

    Duh, mkuu waongea kaa kwamba jamaa yupo kiganjani kitambo.
  7. Richard

    Picha: Tunaweka maslahi ya nchi shakani kuwaamini viongozi wanaopewa Uraia na Mataifa ya nje

    Honorary Citizenship haibadili uraia wa mhusika wala utaifa wake. Hicho ni cheti cha heshima anotunukiwa mtu ambae upstairs amefika juu na wanotoa cheti hicho wameridhika. Kama huelewi jambo basi fanya angalau kautafiti keti pale kwenye ule mgahawa wetu upate gahawa kisha upate elimu...
  8. Richard

    Nape Nnauye: Rais Samia amefuta ada kuanzia awali mpaka kidato cha 6. Mlioguswa nendeni mtandaoni mkaseme 'Tunasimama na Samia'

    Nimeeleza katika moja ya mada zangu fikirishi inohusu Kleptokrasia na tabia zake kwa nchi husika. Moja ya sifa zake kuu ni wanasiasa kusema uongo ambao ni vigumu kuukataa na pia kufanya "spinning" na "maniputalion" kwa wananchi wanowaongoza. Hiyo yote ni katika kujaribu kuwahadaa wananchi...
  9. Richard

    Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

    Tena licha ya kuwekewa vikwazo miaka zaidi ya 40 bado jamaa sasa watengeneza UAVs na makombora hadi ya Hypersonic. Na silaha hizi ni aina tofauti.
  10. Richard

    Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

    Hapana, kutambua kuwa hawa na washia na hawa ni wasunni ni rahisi sana. Nimeingiza kwa makosa neno ukabila kwani lilinijia suala la Kimbari. Wasunni na Washia ni waislam ambao wanafuata misingi yote mitume na msahafu takatifu. Na tatizo linowatenganisha ni imani kwamba yupi khasa ni kiongozi...
  11. Richard

    Nchi za Kiarabu zakiri kuisaidia Israel dhidi ya shambulizi la Iran

    Hii haihusu madhehebu wala dini ya kiislamu bali ni ukabila miongoni mwa waarabu.
  12. Richard

    Mapendekezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha: Igeuze Arusha kuwa ndo "Financial Centre" ya Tanzania na iwe mfano wa mikoa ingine na tafuta washauri maalum

    Je, hufahamu kuwa hizo policy huweza kupitiwa mara kwa mara na kufanyiwa mabadiliko? Hujawahi kusikia watu wasema kuna "change of policy" kuhusu jambo fulani? Usichoshwe na masuali yangu twaelimishana.
  13. Richard

    Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

    Hapahapa Kwamtogole nipo mazee nasubiria. Itanisaidia maana mihogo yangu ya kukaanga (chips dume na chachandu) na kuku wa kuoka itatoka. :)
Back
Top Bottom