Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari.
Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda.
JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
Mkuu, kama nimekuelewa wasema TANESCO imehodhi shughuli nzima ya usambazaji umeme kwa kutumia mfumo mmoja wa gridi ya umeme ya taifa.
Lakini ukifanikiwa kuwa raisi wa nchi hii wahitaji kubadili sera nzima ya nishati nchini.
Katika kubidili sera hiyo kutakupa mwanya wa kutengeneza stratejia...
US si tu yamlinda Netanyahu bali pia haimo kwenye huo mfumo wa hiyo mahakama.
Na hiyo ya kuua watoto Iran si hao tu Marekani imeua sana watu tangia Vietnam hadi leo huo Iran na Venezuela.
Ndo maana nikasema tusubiri wao wataamua vipi mstakabali mzima lakini si kwa matumaini kwamba kuna mtu...
Kama hili jambo lipo basi itakuwa ni serikali kujishirikisha na criminal underworld ya Mexico/USA cartels jambo ambalo ni la hatari kwa usalama wa raia na familia zao.
Yaani serikali yatumia mabilioni ya tshs kuzibadili ziwe dola kisha kuwalipa wahusika wafanye hizo ops haramu.
Cace ipo complex mno na watuhumiwa wapo wahangaika kujiweka sawa kila kona.
Option pekee ni kungojea maamuzi ya US wenyewe ambao hivi karibuni pia wamemteua mwanajeshi wa zamani wa majini kuwa waziri ataeshughulikia bara la Africa.
Maamuzi ya US na EU yatategemea na rasilimali itakuwa Kama...
Mange should know the rules regarding answering door bell.
Do not answer the bell to strangers.
This is in exception to the signed post or delivery people.
In addition, it is a good idea to install door bell with cctv included so that you can see who is at the front door.
These wicked people...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.