Recent content by Richard

  1. Richard

    JamiiForums Tanzania Kwa Kauli Kama Hizi, Kiukweli Kabisa,Huyu Mtu, Atamsaidia sana Rais Samia,Taifa na Watanzania. Mnaonaje kama 2030 Twende Naye Kwa Utaratibu Ule Ule ?

    Mheshimiwa afanya politicking na mzee Mayala nae yumo afanya spinning.
  2. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Gold When you get time please revisit history of Mali Kingdom under Mansa Kakan Musa., you will reckon.
  3. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Ufaransa ndiye mlezi.
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Russia bado wapo na task ya Ukraine.
  5. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari. Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda. JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
  6. Richard

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kwa nchi kuendelea na huu mfumo wa grid wa umeme

    Mkuu, kama nimekuelewa wasema TANESCO imehodhi shughuli nzima ya usambazaji umeme kwa kutumia mfumo mmoja wa gridi ya umeme ya taifa. Lakini ukifanikiwa kuwa raisi wa nchi hii wahitaji kubadili sera nzima ya nishati nchini. Katika kubidili sera hiyo kutakupa mwanya wa kutengeneza stratejia...
  7. Richard

    JamiiForums Tanzania ICC: Ninaanza kuwa na wasiwasi, hivi kuna lolote ICC kinachoendelea kuhusu mauaji ya halaiki. WHO IS PUSHING THE AGENDA?

    US si tu yamlinda Netanyahu bali pia haimo kwenye huo mfumo wa hiyo mahakama. Na hiyo ya kuua watoto Iran si hao tu Marekani imeua sana watu tangia Vietnam hadi leo huo Iran na Venezuela. Ndo maana nikasema tusubiri wao wataamua vipi mstakabali mzima lakini si kwa matumaini kwamba kuna mtu...
  8. Richard

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Kama hili jambo lipo basi itakuwa ni serikali kujishirikisha na criminal underworld ya Mexico/USA cartels jambo ambalo ni la hatari kwa usalama wa raia na familia zao. Yaani serikali yatumia mabilioni ya tshs kuzibadili ziwe dola kisha kuwalipa wahusika wafanye hizo ops haramu.
  9. Richard

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Ni ongoing investigation hivyo TAARIFA yoyote mpya inakuwa yaingizwa kwenye system.
  10. Richard

    JamiiForums Tanzania ICC: Ninaanza kuwa na wasiwasi, hivi kuna lolote ICC kinachoendelea kuhusu mauaji ya halaiki. WHO IS PUSHING THE AGENDA?

    Cace ipo complex mno na watuhumiwa wapo wahangaika kujiweka sawa kila kona. Option pekee ni kungojea maamuzi ya US wenyewe ambao hivi karibuni pia wamemteua mwanajeshi wa zamani wa majini kuwa waziri ataeshughulikia bara la Africa. Maamuzi ya US na EU yatategemea na rasilimali itakuwa Kama...
  11. Richard

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Niwie radhi kama nimekukwaza, usikasirike. Nimetoa tu ushauri wa kitaalam.
  12. Richard

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Hana door bell with cctv ndo maana akaenda kuwarekodi kupitia balcony. Jitahidi usome kwa makini hizi insha😁
  13. Richard

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Mange should know the rules regarding answering door bell. Do not answer the bell to strangers. This is in exception to the signed post or delivery people. In addition, it is a good idea to install door bell with cctv included so that you can see who is at the front door. These wicked people...
  14. Richard

    JamiiForums Tanzania What are the pros and cons of CNG cars ?

    Definitely.
Back
Top Bottom