Recent content by Richard

  1. Richard

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Sawasawa. Tatizo la hawa wakurdi hawana nchi yao wenyewe hivyo ni rahisi sana kupanga bei na kumuuza mtu.
  2. Richard

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Na kwa nyongeza Iran kwa sasa hakuna Internet (WAN) bali kuna intranet (local LAN), hivyo raia wameruhusiwa kutumia intranet ndani ya Iran na mawasiliano yapo kama kawaida isipokuwa hawana mawasiliano na nje ya Iran. Pili, baada ya yale mauaji ya mwanzo ya raia na waandamanaji raia wameingia...
  3. Richard

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Yes hii ni about Marekani kutawala Dunia na kumzuia China ambae amekuwa (hadi sasa) akifaidi mafuta machafu ya pale kisiwa cha Kharg na Mareani akitaka kisiwa hicho kwa namna yoyote ile. Si umesikia zile dola bilioni 200 ziloombwana Pentagon? NATO kwa siri wote wapo wamesogeza meli zao eneo...
  4. Richard

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Hakuna mtu anependa au kushabikia vita na mauaji ya raia waso na hatia. Lakini "I am sorry to say", Donald Trump kaamua kuivamia Iran mazima na itakuwa vita itayolazimisha vita ya tatu ya Dunia. Sote tuombe isitokee hivyo.
  5. Richard

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Huyo akisema wamsikiliza uzuri kwani ana madini ya kutosha.
  6. Richard

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Kila nchi sasa hivi kuna hiyo Pressure ya kukabiliana na gharama za maisha. Hata hapa Marekani na huko Ulaya ni hivyohivyo waangalia gharama za mafuta, chakula na maisha kwa ujumla. Kama hujasikia Slovakia wameishaweka mgao wa dizeli kwa siku 30 na dereva kutoka barani Ulaya alipa zaidi ya...
  7. Richard

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Wako karibu, lakini watakufa wengi sana kwani Iran wapo juu wamejiandaa na milima itawasaidia. Itakuwa kama vile Wamarekani wapo katikati ya dimbwi kubwa. Tukumbuke pia kwamba hii ni hila ya Trump na amefanya mara tatu hadi sasa kurubuni kuhusu kusimamisha vita ili majadiliano yaendelee...
  8. Richard

    Iran wanafanya kosa lile lile la kudhani Trump ni muoga baada ya kuongeza siku 5, Ayatollah na Maduro walimpuuza alipoongeza muda, kiko wapi?

    Marekani na Israeli wamekosea "Big Time" kuchagua Iran kama kondoo wa kafara. Kurunzi yako ni ndogo mno ongeza dau upate kurunzi kubwa.
  9. Richard

    Tatizo ni kwamba Iran sio Libya wala Iraq na si Venezuela. Na Itasumbua sana kuuangusha utawala wa Iran kwa sasa

    Updates: Iran yamteua mkuu mpya wa usalama. Kamanda wa zamani wa jeshi la ukombozi la Iran IRGC Mohammad Bagher Zolghdr ameteuliwa kuwa katibu wa baraza ku la usalama la Iran na kuziba nafasi ilokuwa wazi baada ya mauaji ya Ali Larijani yalofanywa na Marekani na Israeli.
  10. Richard

    Wengi waigomea Idd el fitri ya BAKWATA, Wadaii Idd halali ilikuwa Ijumaa

    Tofauti itakuwa tarehe ambayo mfungo ulianza rasmi. Kama mfungo ulianza tarehe 17 kuamkia tarehe 18 mwezi February, basi siku kuu yapaswa kuwa Alhamisi ya tarehe 19 kuamkia Ijumaa ya tarehe 20. Nchi nyingi Duniani walianza mfungo tarehe 18 February na walimoliza mfungo huo usiku wa Alhamisi...
  11. Richard

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mfumo wa Kisiasa wa Iran haujayumbishwa licha ya mauaji ya viongozi wake

    Ilijulikana tangia mwanzo kwamba Iran itawasumbua sana Marekani na Israeli.
  12. Richard

    US ametangaza kuondoa vikwazo vya mafuta kwa IRAN

    Lakini Mkuu pamoja na hayo usemayo Iran pia imekuwa ikiiuzia mafuta China na meli zimekuwa zikipita hapo mfereji wa Harmuz kwenda China tu na si kwingine tangia vita hii ianze. Sasa labda utauliza China yailipa nini Iran kwa kununua mafuta yake? Hata hivyo Iran imetoa taarifa ya kusema kwamba...
  13. Richard

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Sawasawa na pia hiyo yafanana ni ile vita ya Gallipoli ambayo iliua watu wengi sana na hima ya Ottoman ikawa mshindi. Lakini "behind the scene" kwa jicho la kijasusi Marekani yajiandaa kufanya "ground invasion" na itakuwa battle ambayo haijawahi kutokea na zaidi ya battle ya Gallipoli. Nimesema...
  14. Richard

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Pentagon wameomba dola bilioni 200 za kuongezea kuni jikoni.
  15. Richard

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Marekani na Israeli wamekosea mahesabu. Malengo yao yafanana ila malengo ya kistratejia ndo shida kuelewana. They have the same objectives but different strategic objectives.
Back
Top Bottom