Recent content by Richard

  1. Richard

    JamiiForums Tanzania Senegal: Mwisho wa "Ndoa" ya Kisiasa? Rais Diomaye Faye amtimua kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali

    Ni vigumu sana kwa waafrika kujitawala kwa asilimia 100. Na mlozi wa mwafika ni mwafrika mwenyewe. Huo ndo ukweli.
  2. Richard

    JamiiForums Tanzania Iran yaomba ruhusa FIFA kuhamishia timu yake ya taifa Mexico baada ya kugundulika wachezaji, makocha na maofisa wote wamepitia mafunzo IRGC.

    Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri kuwa wachezaji karibu wote wamepitia mafunzo maalum kutoka jeshi maalum la mapinduzi la Iran maarufu...
  3. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yes parade ni jumapili tarehe 31 May saa 8 mchana kwenye kitongoji cha Islington kaskazini ya London. Msafara utaanzia uwanjani Emirates na utapita katika maeneo ya Drayton Park, Aubert Park, Highbury Grove, barabara ya St Paul mtaa wa Upper au Upper Street na kisha kurudi uwanjani Emirates.
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sawasawa shukrani mkuu kwa kuniweka kumbukumbu sawa. Miaka 22 ni mingi mno.
  5. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni masksuti ndo wapo field kutafuta. Ila kazi ya kwanza ni kuondoa wachezaji (moving them on) kama Martinelly, Norgard, Jesus na hata kipa Kepa. Ila Arsenal priority signings ni kiungo (kuziba nafasi ya Norgard akiondoka), mshambuliaji wa pembeni (winger) na mshambuliaji (kuziba nafasi ya...
  6. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani ikitumia Section 7031(c) ina maana wana taarifa za UHAKIKA, mbali na Mafwele kuna majina mangapi mengine kwenye Faili?

    Good analysis. Kwa kuongezea nyama tu ni kuelewa khasa hii Section 7031 (c) yahusu kitu gani. Ni kipengele kinoitwa Related Programs Appropriation Act ndani ya SD shughuli za nje ( Foreign Operations) ambacho charuhusu serikali ya Marekani kuweka vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya raia wa nchi...
  7. Richard

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vya Marekani havijawahi kua na athari zozote za moja kwa moja kwa mtu binafsi au kwa taifa lolote husika duniani

    Twanzungumzia Mafwele usihamishe magoli. Ukitaka ya Iran weka mada yake kule International.
  8. Richard

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vya Marekani havijawahi kua na athari zozote za moja kwa moja kwa mtu binafsi au kwa taifa lolote husika duniani

    Ufikapo wakti wa kuongea mambo ya maana usijizime Data completely, gentleman. Marekani imesema kuwekewa vikwazo wa huyo Mafwele ni kitendo cha kushawishi uwajibkaji (accountablity) kwa sababu vitendo anovifanya Mafwele na genge lake ni vya kinyama na visivyo vya kawaida. Pia Mafwele ni ofisa...
  9. Richard

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Mazee wana maana yao kufanya hivyo. Kwa sasa ni kuangalia kama hiyo yafanya kazi.
  10. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu, umeongea jambo la maana sana yaani ukiwa shabiki wa timu kama Arsenal yakupasa kutokata tamaa. Nilipokua pale London mwaka 2004 niliona jinsi Invicibles walivyonyakua kombe lile pale Highbury Islington nahodha akiwa Patrick Vieira. Lakini kuna kitu Arsene Wenger alifanya nacho ni...
  11. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal ni timu inochukiwa sana na kuonewa wivu na mashabiki wa timu karibu zote pale UK. Lakini safari hii Arteta has just delivered the trophy. Arsenal itakuwa timu tajiri zaidi na khasa wakifanikiwa kutwaa CL. COYGs
  12. Richard

    JamiiForums Tanzania Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

    Mkuu, Arteta has delivered.
  13. Richard

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Bila shaka. Kwanza nimepiga kura yangu ya Ndiyo na kisha nikaandika. Twapata picha halisi.
  14. Richard

    JamiiForums Tanzania Angellah Kairuki: Matumizi ya Internet yameongezeka kwa asilimia 19.5, watumiaji wafikia Milioni 58.9

    Watumiaji wa huduma za kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu wamefikia milioni 81.0 kufikia Machi 2026?? Naomba ufafanuzi hapo.
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    If The Economist have decided to write this meaningful article about Samia Suluhu Hassan, then they are signalling something that is very important and significant. Let’s wait and see.
Back
Top Bottom