Peter Wright aliandika Spy Catcher kikiwa ni kumbukumbu ya kazi zake alipokuwa mtumishi wa MI5.
Hivyo ni Memoir inoelezea yale aliyaona idarani.
Jambo linofanya kitabu kizuiwe kuchapishwa nchini humo ni maelezo ya kina na utafiti wake bwana Wright juu ya maofisa ambao kuanzia mkurugenzi wake...
Shukrani sana mkuu, karibu.
Nipo katika viunga vya NY City leo ni miaka 25 tangu wale magaidi Assets wa Osama Bin Laden wafanye yao pale kwenye zile Twin Towers.
Nafahamu wamaanisha nini.
Ipo operesheni moja Ukraine ilifanya ya kumrubuni rubani wa ndege ya kivita ya Russia ili aivushe iingie anga la NATO.
Walimuahidi fedha nono na maisha mapya na jina jipya na baada ya operesheni ile akaenda kuanza maisha mapya nchini Hispania.
Lakini kama nilivyosema...
Huku niliko kuna security clearance na zina level mbalimbali kulingana na aina ya ujuzi ulo nao.
Hata ukiwa security engineer kama Edward Snowden kwa sasa ni lazima uwe na clearance kuingia ofisi yoyote ile kufanya shughuli zako.
Kwa mfano hizo ofisi uloingia kwa sasa zote zitahitaji kupata...
Itakuwa hivyo kama uko aware na mazingira uliyopo.
Ila wengi hawajifahamu kama wao ni asset au informant tiyari.
Kwa mfano ukiangalia kwenye Cyber Security watumishi wa taasisi au maofisi hutakiwa kupewa training juu ya matumizi ya computer kwasababu upo uwezekano wa kuclick barua pepe ambayo...
Kwa mahakama zetu sifahamu adhabu itakuwa ni ipi labda wajuvi waeleze.
Ila kikawaida ni faini kubwa au jela au adhabu zingine kali.
Peter Madeleka alikumbwa na hii.
Ok
1. Jasusi mbobevu aweza kuanzisha urafiki na mtu ambae yupo kwenye "target area" na akawa mchekeshaji na muongeaji sana au mpiga story mkuu au muanzisha topic yoyote. Baadae anakufanya wewe(bila kujijua) kuwa "informant" wake. Hapo ndo weye bila kujijua wampa taarifa muhimu kuhusu target...
Huyo mtu wao (asset) na huyo mtoa taarifa wao huitwa kwa kiingereza Unwitting asset au Unwitting informant.
Katika ulimwengu wa leo katika mataifa yote hii mbinu imekuwa ni muhimu sana na inokuwa na teknolojia.
Nchi zinoongoza kwa sasa duniani kwa kazi kama hizi ni Russia, China, Iran, Ukraine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.