Recent content by Richard

  1. Richard

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Peter Wright aliandika Spy Catcher kikiwa ni kumbukumbu ya kazi zake alipokuwa mtumishi wa MI5. Hivyo ni Memoir inoelezea yale aliyaona idarani. Jambo linofanya kitabu kizuiwe kuchapishwa nchini humo ni maelezo ya kina na utafiti wake bwana Wright juu ya maofisa ambao kuanzia mkurugenzi wake...
  2. Richard

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal I up Huwa hatusajili tu mradi twasajili. Bruno kastua. Glorious strike outside the D. Absolute thunderbolt!
  3. Richard

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Mguu mbele mguu nyuma

    Hivi hiyo wizara watakiwa ufanye nini khasa?
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Shukrani sana mkuu, karibu. Nipo katika viunga vya NY City leo ni miaka 25 tangu wale magaidi Assets wa Osama Bin Laden wafanye yao pale kwenye zile Twin Towers.
  5. Richard

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    You see!
  6. Richard

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    Nadhani ni mwezi ulopita alikamatwa na polisi kwa amri ya mahakama.
  7. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Nafahamu wamaanisha nini. Ipo operesheni moja Ukraine ilifanya ya kumrubuni rubani wa ndege ya kivita ya Russia ili aivushe iingie anga la NATO. Walimuahidi fedha nono na maisha mapya na jina jipya na baada ya operesheni ile akaenda kuanza maisha mapya nchini Hispania. Lakini kama nilivyosema...
  8. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Labda hiyo operation iwe online na sio on the ground.
  9. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Huku niliko kuna security clearance na zina level mbalimbali kulingana na aina ya ujuzi ulo nao. Hata ukiwa security engineer kama Edward Snowden kwa sasa ni lazima uwe na clearance kuingia ofisi yoyote ile kufanya shughuli zako. Kwa mfano hizo ofisi uloingia kwa sasa zote zitahitaji kupata...
  10. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Itakuwa hivyo kama uko aware na mazingira uliyopo. Ila wengi hawajifahamu kama wao ni asset au informant tiyari. Kwa mfano ukiangalia kwenye Cyber Security watumishi wa taasisi au maofisi hutakiwa kupewa training juu ya matumizi ya computer kwasababu upo uwezekano wa kuclick barua pepe ambayo...
  11. Richard

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    Kwa mahakama zetu sifahamu adhabu itakuwa ni ipi labda wajuvi waeleze. Ila kikawaida ni faini kubwa au jela au adhabu zingine kali. Peter Madeleka alikumbwa na hii.
  12. Richard

    JamiiForums Tanzania If DGTISS, IGP, DCI decides not to show up itakuaje?

    Hiyo ni contempt of court
  13. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Mambo mengi kwa sasa yamebadilika na kwenye tactical espionage sasa hivi assets hupotezwa baada ya kazi kwa kulinda ya baadae.
  14. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Ok 1. Jasusi mbobevu aweza kuanzisha urafiki na mtu ambae yupo kwenye "target area" na akawa mchekeshaji na muongeaji sana au mpiga story mkuu au muanzisha topic yoyote. Baadae anakufanya wewe(bila kujijua) kuwa "informant" wake. Hapo ndo weye bila kujijua wampa taarifa muhimu kuhusu target...
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Huyo mtu wao (asset) na huyo mtoa taarifa wao huitwa kwa kiingereza Unwitting asset au Unwitting informant. Katika ulimwengu wa leo katika mataifa yote hii mbinu imekuwa ni muhimu sana na inokuwa na teknolojia. Nchi zinoongoza kwa sasa duniani kwa kazi kama hizi ni Russia, China, Iran, Ukraine...
Back
Top Bottom